Kitchen Party ya 'Baby Tall' wa Twanga Pepeta......

Thursday, July 28, 2011 4 Comments

Baby Tall mmoja wa dancers ktk bendi ya Twanga Pepeta akiwa na mpambe wake ktk Kitchen party yake iliyofanyikia Mango Garden juzi usiku.

Hongera sana mamie Mungu akutangulie ktk Harusi yako

Vivazi ndio kama ivyo jamani.
Mashabiki na wadau wa twanga kama unavyowaona walinogaje?
Mamaa Odama pendezaaaa sana.
Lilian internet,Qeen suzy wakivuta shisha.

Mc Maimatha wa Shaa Bi harusi Mtarajiwa.
Sabrina mnenguaji wa Mapacha wa tatu akiwa na kitumbo chake.
Vimwana wa Twanga pepeta.
Dida wa G niliitwa kutoa mada nami ni mwanachama nikazungumza.
Warumba wakifanya makamuzi.
Mijizawadi.
Wanakamati wakiongozwa na dada LUIZA MBUTU.
Dida na marafiki.
Wanakamati kwenye picha ya pamoja.

4 comments:

CPWAA TO PERFORM ON BIG BROTHER AFRICA AMPLIFIED 2011 FINALE

Wednesday, July 27, 2011 0 Comments


Tanzanian Urban Music ( Bongoflava) Artist CP a.k.a CPwaa “ The King of BongoCrunk” has been invited by Big Brother Amplified/ MultiChoice Africa as one of the few selected artists in the continent to perform on the finale show 31st of July 2011. CPwaa will be the only artist from East Africa to represent live on the stage during the final BBA eviction show where one housemate will leave the house with a prize of 200,000 USD! Other invited Artist on the Big Brother Amplified Finale 2011 include WIZ KID and MO CHEDDA (Nigeria), FALLY IPUPA ( Congo) and South African’s PROFESSOR and SPEEDY.

Big Brother Amplified is Africa’s biggest Live show coming to its season end on 31st of July with over 50 Million viewers in 58 countries watching it live from their TV screens across the continent and the world. CPwaa is the second Tanzania artist to perform on BBA Amplified after “Shaa” who performed a couple of weeks ago. CPwaa also will be the second East African artist to perform on BBA Finale after WYRE ( Kenya) who performed on last year’s BBA finale. Other Artist who have been on the BBA stage 2011 include Cabo snoop ( Angola), Cindy (Zimbabwe),Vee and Scar (Botswana), EES (Namibia), AKA (South Africa), Ice Prince (Nigeria), Radio and Weasal ( Uganda), Nonini ( Kenya), Jaguar( Kenya) and Buster Rhymes( U.S.A). The finale will take place in Johannesburg, South Africa around 19.00 -21.00 EAT and broadcasted live through Channel 192/8 on DSTV Multichoice .

Cpwaa, the “ Action” song hit singer will perform his hit songs include ACTION featured Ms. Triniti, Dully Sykes and Mangwear. CPwaa’s team and management would like to thank all media houses and fans for supporting him and also thanks STREET SOUL CLOTHING RANGE for volunteering to sponsor CPwaa’s wardrobe for the whole trip.See CPwaa's latest video below and for more visit his official website:: http://www.cpwaa.co.tz/

0 comments:

Ujio mpya wa Five Star Modern Taarab kutambulishwa Ijumaa

Monday, July 25, 2011 0 Comments

Mariam Mohamedi

Kundi la Five Stars modern taarab linatarajia kurudi upya pale litakapojitambulisha upya kwa wapenzi wa taarab na muziki kwa ujumla ktk ukumbi wa Hotel Traverntine ijumaa hii.
Bendi hio sasa itakwenda kwa jina NEW FIVE STARS MODERN TAARAB ikiwa na wasanii kibao wapya baada ya msiba mzito uliowakuta mwezi Machi mwaka huu. Baadhi ya wasanii waliojiunga na bendi hio ni pamoja na Mariam wa Bss, Musa Ally, Mafaloo Mzumbye na wengine


Utambulisho huo wa bendi utaambatana na nyimbo zao mpya ambazo zitajumuishwa ktk album yao ya kwanza ambazo ni First Lady, Sina Gubu nina sababu, watu na tabia zao, Mwenye hila habebeki na Ulaumiwe wewe nani pia utapambwa na mkali wa bongofleva Dully Sykes anayetamba na nyimbo yake ya Bongofleva.

0 comments:

Chezea Binti Machozi, afikisha miaka sita toka kuanzisha Bendi yake.

Monday, July 25, 2011 0 Comments

Hapa akiwa anafungua champagne ktk sherehe ya harusi ya Dida na G New Msasani club.
Jide ametoa Tuzo na fedha kwa wanamuziki na wapenzi wa muziki wake ijumaa iliyopita ndani ya Nyumbani Lounge ambapo hufanya show na Machozi Bend kila Ijumaa na jumapili baada ya kuhama Mzalendo

0 comments:

Hongera Machozi Band kutimiza miaka sita.

Monday, July 25, 2011 1 Comments


Ijumaa iliyopita ya tarehe 22 Binti Comandoo na Bendi yake ya Machozi walitimiza miaka sita (6) tangu kuanza kwake,
wamepitia mengi magumu na mazito na kwa support ya Fans na discipline ya wanamuziki wenyewe wamefikia hapo....
Hongera sana kwa Uongozi wa Machozi Band kwa ukubwa mliouonyesha na heshima pia kwa wapenzi wa burudani hio kupata Tuzo.

Kutambua na kuthamini mchango wa wanamuziki na wadau waliokuwa na sisi tangu tunaanza hadi leo, tuliamua kutoa Tuzo kuwashukuru kwa mchango wao.

Pichani juu Ni Mwinyi Goha, akikabidhiwa tuzo ya Mwanamuziki anejipenda na mwenye muonekano Safi, kuanzia mavazi n.k kwa kipindi chote ambacho yupo kazini.
Swahiba, Shamim Mwasha akimkabidhi Mbwana Mponda Tuzo ya Mwanamuziki aliekaa na Band kwa muda mrefu kuliko wengine wote.
Huyu anapiga Bass Guitar, Tangu MACHOZI inaanza mpaka leo yupo

Jonico Flower, Best Vocalist hilo halipingiki hata Jide anaweza kusubiri hapa

Mfanyakazi Bora alikuwepo lakini alikuwa kazini hakuweza kuinuka hata kuifuata Trophy yake, mkewe akamchukulia akampelekea pale alipokuwa amekaa
Huyu si mwenye Tuzo, ni mke wa mwenye Tuzo hiyo inayoonekana pichani juu

Baada ya kupokea kikombe na bahasha ya fedha taslimu alienda kuzikabidhi kwa baba kwanza, zikatiwa barka halafu kama ma mwenye nyumba akarudi nazo kuzimiliki na kuzipangia budget
Mfanyakazi bora wa MACHOZI BAND anaitwa DUDU
Best Male Supporter "ERASTO LUGENGE"
Pamoja na kuwa tunaimba watu wanakuja, lakini kuna watu huwa wanakuja kila siku, lije jua ije mvua na tumetambua mchango wao.

Best Female Supporter "TINDWA"
Tangu Chozi linaanza JJ Blue mpaka linapata makazi yake Nyumbani,
mdau yupo tu

BLOG HII INAWAPONGEZA WASHINDI WOTE WA TUZO HIZO NA KUWATAKIA KILA LA KHERI KTK KUENDELEZA BENDI YA MACHOZI


tembelea zaidi
http://ladyjaydee.blogspot.com/

1 comments:

Dida na G ktk matukio ya harusi mwisho wa wiki iliyopita......

Monday, July 25, 2011 22 Comments

Bi. harusi alipowasili Mkapa Zone tayari kwa kufunga ndoa

baada ya ndoa maharusi wakapanda mlima wa kutengezwa kwa ajili ya picha na mambo km hayo

baadaye shughuli ikahamia ukumbini



Champagne ikafunguliwa. kutoka kushoto Lady Jaydee, Ashura Macheni, Dotnata na Mariam Keki wakionyesha ujuzi wa kufungua Champagne

Mzee Yusuph akatumbuiza


Isha Mashauzi na bendi yake pia walitoa burudani



wafanyakazi wa Times Radio ktk picha ya pamoja na maharusi






Jokha Kikumba akimpongeza bi. harusi

Mwenyekiti wa kamati1 Dotnata

Mwenyekiti kamati 2 Chilu

mzuka ulimpanda Mc wa shughuli hio akaingia kuserebuka sambamba na wageni waalikwa


Huku wageni waalikwa wakiendelea na burudani Maharusi waliondoka kwenda mapumzikoni

22 comments: