HONGERA SIA MUNGU AKUJAALIE KWENYE NDOA YAKO,MAMBO YA PUNDA MILIA SARE BIBIIII.

Friday, July 20, 2012 1 Comments

  1. Muonekano wa ukumbi.
  1. Baadhi ya wageni waalikwa.

  1. Dida,shostito ktk pozi.
  1. Maharusi wakiingia ukumbini full pundamilia.



Mizawadi ya Mama wa Bi Harusi
Unyayooooooo wa Bi Harusiiiiii.
Nikimpa maneno ya kuingia kwenye ndoa sababu nina Experience chezeaaa.

Jikeki.

Kila mtu katupia kivyake.
Pundamilia mpk kucha za Bi Harusi.
Wanafunzi wenzie Bi Harusi ktk pozi.
Mambo hayoo wewe tu na roho yako.




Mwanamke jicho bibi.
Mwanamke Hereni.
Weweeee watu ooooh anatumia Amira nani kasema.



Unywele wa Dida alooooooo aso komwe ana chogo.
Mashoga wa Bi Harusi wakijiachiaaaaaaa.




Dida na wadogo zangu waliomba tupige picha chezea jembe.



Humu unatupia chochote.
Haijalishi mdundo wala nini,ilimradi usiwe umetoboka.

1 comment:

  1. wewe nawe acha ubahili kama unapenda kuweKA PICHA NUNUA NEW CAMERA SIO KUTUUMIZA MACHO NA PICHA ZISIZO NA MVUTO KHAAAAAAAAAAAAAA

    ReplyDelete