Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most Popular Posts
-
AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
-
SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
-
HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
-
MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI.... KHERI KWA KILA MTU
-
WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
-
MY WEDDING DAY....
-
THE AFTERMATH...
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
-
Uzinduzi wa AIBU YAO AIBU YETU ya Hassan Ally, ulivyofana Vatican city Sinza
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY

Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
kaz mnayo wanawake wa uswaz hata kama mnakaa masaki or wherever tabia zenu za kiswahili mno mnanichefua kweli
ReplyDeletewaooh hongereni sana ilipendeza mno.kuishi na watu vizur ni raha jaman.tunaomba utuwekee wimbo wa domo kaya wa jahazi modern taaran,pls tupo majuu thhen huo wimbo haupo ktk web.nilikuja mara moja nikauskia nikaupenda,kaimba kijana mdogo.
ReplyDeleteDUNIA TAMBARAREEE LOL........
ReplyDeleteJamani we dida huyo ndugu yako hata maznat saloon ambayo kidogo unaweza pambwa ukapendeza hukumshauri akaenda kajitwika mnanasi huo juu umepitwa na wakati mbona kama washamba yle mie nakuona we wa mjini na huyo isha anauza hilo duka shilingi ngapi miziwa utadhani kapewa tenda ya kunyonyesha watoto yatima loh mjiangaliege maumbo yenu ndio mchague nguo za kuvaa otherwise mwageuka vituko.ni hayo tu kwa leo hata ukishushua ukweli ndio huo na habari ndio hiyo.mashauzi family mnayaweza hela zenyewe hamna mnajishaua tu tena bora hata we dida mwanamke mhangaikaji nakukubali sana ila hao wengine sina hakika nao.then mbona picha za vyombo hatuzioni au ndo sahani na bakuli mbili hicho kikabati cha dubai ndo nilichoona cha maana kama kuna nyingine weka tuone mana hiyo ndo maana ya kitchen party
ReplyDeleteRAHA JIPE MWENYEWE! NA HIYO SIKU YAKE LAZIMA AFANYE KILE ANAJISIKIA YUKO HURU NACHO, KAMA KAPENDA STYLE HIYO WALA SIMLAUMU, NI MAPENZI YAKE!! SI KILA MTU ANAENDA NA LATEST STYLES, USIISHI KWA AJILI YA WATU, ISHI KWA AJILI YA NAFSI YAKO. WAJA KUSEMA NI KAWAIDA!!!!!
ReplyDeleteHata hamkupendeza, majigambo mengi bure.
ReplyDeletependezaa sana nyie.
ReplyDeletewe dida hivyo viatu si vya baridi?
ReplyDeletedida mbona watu wanapenda kukuponda sana?walimwengu acheni chuki na mwana wa mwenzenu,mara hoooo mnajishaua hela zenyewe hamna jamani kwani iyo kitchenpart uliifanya ww?watu midomo mmepewa na dida kweli unawapa wakati mgumu hasaa wanaokuchukia kitu kidogo washapayuka,mambo yakitchenpart ya dadayake pia yanawauma?mhhhhh kazi mnayooooooooooooooooooooooooodida wachomeeeeeeeeeeeeeeeee
ReplyDeletemake up jamani make up muambiweje kiwaimgie kiwakune HAMPENDEZI KAMA VINYAGO HATA VYA MPAPURE VINA AFADHALI KHAAAA KINYAAAAAAAAAAAA
ReplyDeletemhhhh hizo make up mnatisha, kila mmoja anamshinda mweziwe kazi kweli kweli
ReplyDeleteDida naomba undugu kwenye mashauzi Family nimeipenda iyo
ReplyDeleteongereni,lkn mbona zawadi amjatuonesha zote,ukiyavulia maji nguo sharti uyaoge tuonesheni na vingine zaid ya ilo kabati babu,aihuuuu!
ReplyDeletehuyo bi harusi mbona kama kapakwa utomvu wa fenesi huko machoni? imekuaje?
ReplyDeleteDida wewe ni binti mzuri sana, na umelelewa na mama yako vizuri, lakini hicho kikundi cha MASHAUZI kinakushusha hadhi hakikufai wewe huko juu. ACHANA NA HAYO MAJIMAMA NA MIMWANAUME INAYOJIFANYA WANAWAKE yaani WA.EN.E maliza mwenyewe
ReplyDeleteDida wambie wenzako wasichezee FEDHA kwa kujishaua kunatisha pesa ni uaribifu acheni michezo ya kijinga kama hiyo kama wanataka kukutunza mwenzenu wekeni kwenye bakuli kisha ziesabiwe
ReplyDeleteai,huyo bi harusi kazubaa kama viazi mbatata kwenye pilau,na huyo isha mashauzi ndo minywele gani hiyo,naye anajishaua kama vitunguu saumu kwenye pilau anataka aonekane yeye tuu,kama vitunguu saum vinavyotaka kusikika vyenyewe tu kwenye pilau lol.mwatiilishaaaa.
ReplyDeleteKujishaua koooote zawadi ya kichina!!Lol.
ReplyDeletedida tunaomba utuwekee mwimbo wa isha mashauz wa tugawane ustaarabu,upload plzzzzzz nampenda sn huyo dada...
ReplyDeleteJamani kwakweli uyo bi harusi hata hajapendeza jamani, nini sasa kapaka huko machoni, hapana kwakeli lol..
ReplyDeletekila mja hufanya kitu chake kwa uwezo wake na anaruhusiwa kujiachia atakavyo,nawashangaa mangurumbembe acheni wivu kizuri kisifieni na kama kunasehemu wamekosea kuna jinsi ya kumuelimisha mtu.
ReplyDeletewewe unayesema bi harusi kazubaa wewe una achari machoni?
wewe unayesema hajapendeza harusi yako ilikuaje?
wewe unayesema wanajishaua na kikabati cha mchina na pia hela hawana hivyo waache kujinadi,wewe hujawahi tunza kwa rusha roho ki kanga cha india kimoja na sahani za buku za mafungu tena ukalia?
acheni kejeli,kumbukeni ASIYEUMBA DAIMA HAUMBUI.hebu waacheni wale mananasi yao kwanafasi.
mama Rique.
wote mliotoa kashfa nyumba zenu zinawaka moto kwani mnaonekana mna nongwa sana,mnaboa.
ReplyDeletedida siku nyingine bi harusi mpeleke kwa maznat akarembwe zaidi,sisemi kwamba bi harusi hajapendeza ila ili awe tofauti zaidi basi mpeleke huko.
ReplyDeleteotherwise mmejitahidi sana,big up.
kama viatu vya dida ni vya baridi,je mbona madukani vyauzwa au bongo kuna snow zinadondoka kipindi chake kikifika?acha roho ya kwanini utakua hufanikiwi mzazi.
ReplyDeletekama nywele za isha ungezipata wewe ndo ungekua kwenye fashion?she is beuty bila hata hizo nywele ,do ur things let isha does her interest hata akitaka za njano ni yeye we zako za pink zi wapi?acha kashfa maisha mafupi na yana kujichakachua.
mrs salim
mhh pole Dida kwa kuweka hizo picha. Kushambuliwa koooote huko pole bin dada
ReplyDeletedida mimi nitakutafuta kwaajili ya baikoko jamani naipenda kweli ngoma yangu ya tangaa mambo ya leso hehehee
ReplyDeletekama huyo dada alikulea anaolewa leo sasa ana miaka mingapi jamani, na wewe ndio ushakuwa shangingi maarufu DAR
ReplyDeletekweli aloimba uswahilini kuna vituko hajakosea!! hapo alopendeza ni Dida tu,wengine make up utazani majivu! halaf jamani kwanini tusiangalie maumbo yetu tunapoamua kuvaa? kila mtu anauhuru wakuvaa atakacho sikatai,lakini kweli tujiangalie kwanza tukoje!!
ReplyDeleteDida, Neno langu liliwachoma hadi mmeamua toa comment yangu?
ReplyDeleteila nashukuru..hii inamaana ujumbe ulichoma mahala husika
sikusema kwa ubaya, ni kupeana tu mawaidha, ndio maana tuna vichwa hadi mighuu.
tusiporekebishana humu, wapi tena?
hao wanaoleta hivyo viatu bongo washamba ss huku tunavaa wakati wa baridi ikiisha tunaweka stoo,winter mpaka winter.muulize dida joto lake alilionaje?
ReplyDeletejamani hvo viatu ni vya kipindi cha winter, hata msipokubali habari ndo hiyo
ReplyDelete