DUNIA IMEKUWA KIZAA ZAA KILA SIKU ZINAVYOKWENDA DUME JIKE HUYU AOLEWA HARUSI PAMBE SHURTI KWA KUFUNGA MTAA MWENYEWE ADAI NI BIRTHDAY.
Kwanza jina lake anajiita DIDA chezea ongea yake tu mie sauti yangu nzito,hapo alipo kapaka rangi vidoleni kote shurt wanja chini ya macho mie sijawahi,Aliolewa siku ya jumamosi kwenye baa inaitwa KIBETA Mbagala kuu,Alifunga mtaa kwa kibao kata makaka poa kibao ndipo wakazi wa hapo waliposhikwa na hasira nakuwavamia ukumbini mpk hasara za kuvunja vioo vya magari ya watu.Hapo akiwa studio za radio times kwa mahojiano.
Akiwa na bi hindu studio shughuli zake ni Mc kwenye kitchen part,Anasasambua na Kupamba maharusi na ukumbi na kutengeneza keki.Rafiki zake wakubwa ni mashoga sababu habagui achagui atakayemzika hamjui,Ila baba yake baada ya tukio ilo kamfukuza hataki kumuona na mashekhe wamemsomea dua haelewi afanye nini AUNT DIDA makubwa madogo yananafuu.
4 comments: