WASIKILIZAJI WA KIPINDI CHA MITIKISIKO YA PWANI WALIFIKA STUDIO ZA 100.5 TIMES FM KULETA MCHANGO WA WAHANGA WA MABOMU GONGOLAMBOTO.

Monday, February 21, 2011 0 Comments

Tukiwa kwenye picha ya pamoja ni mkuu wa hosteli iliyopo maeneo ya sabasaba walichanga MCHELE,MAHARAGE,UNGA,MAFUTA YA KUPIKIA NA PESA TASLIMU SHILINGI LAKI MOJA,Mungu awabariki sana.
Mkuu wa hostel kushoto akiwa na wanafunzi muda mfupi baada ya kufika Radio Times.

0 comments: