Dida na G ktk matukio ya harusi mwisho wa wiki iliyopita......

Monday, July 25, 2011 22 Comments

Bi. harusi alipowasili Mkapa Zone tayari kwa kufunga ndoa

baada ya ndoa maharusi wakapanda mlima wa kutengezwa kwa ajili ya picha na mambo km hayo

baadaye shughuli ikahamia ukumbini



Champagne ikafunguliwa. kutoka kushoto Lady Jaydee, Ashura Macheni, Dotnata na Mariam Keki wakionyesha ujuzi wa kufungua Champagne

Mzee Yusuph akatumbuiza


Isha Mashauzi na bendi yake pia walitoa burudani



wafanyakazi wa Times Radio ktk picha ya pamoja na maharusi






Jokha Kikumba akimpongeza bi. harusi

Mwenyekiti wa kamati1 Dotnata

Mwenyekiti kamati 2 Chilu

mzuka ulimpanda Mc wa shughuli hio akaingia kuserebuka sambamba na wageni waalikwa


Huku wageni waalikwa wakiendelea na burudani Maharusi waliondoka kwenda mapumzikoni

22 comments:

  1. Dida hongera sana ila best utulie basi maana nyie mastaa hamkawii mara kesho tutasikia mmeachana ndoa ni stara bibi.
    Halafu wewe si muislam umefunga ndoa ya bomani?

    ReplyDelete
  2. heheeeeeeeeeeeeeeeeeee Watajicarry

    ReplyDelete
  3. Hongera sana dida

    ReplyDelete
  4. ulipendeza mno dia. tuwekee picha zaidi mpendwa. bila shaka gauni limetoka china zuri sana.

    ReplyDelete
  5. Heeee na shela ukavaa???????? makubwa

    ReplyDelete
  6. dida kiasi ulipendeza but mbona umetuwekea picha ulizopigwa kwa mbali?nitafurahi kama utaweka picha nzuri zaidi ili tusaminishe maana we kwa mashauzi ndio mwenyewe.

    ReplyDelete
  7. Hongera sana Dida..!! Mungu mwema awasimamie kwa kila jambo katk maisha yenu yote ya ndoa.

    ReplyDelete
  8. Dida, mbona umeweka picha kama sio zako vile? vipicha vinaonyeshaa kwa mbaaali, alaa hebu weka picha za maana bwana, vipicha gani hivyo vinaumiza macho? tumesubiria muda mrefu tuone hizi picha, kwahiyo usilete masihara hapa

    ReplyDelete
  9. Hongera Dida.Usisikilize ya watu.we sali sana kwa ndoa yako! Thats all.

    ReplyDelete
  10. umependeza ila upunguze majigambo

    ReplyDelete
  11. DIDA wa G hujui G for General

    ReplyDelete
  12. Umependeza mpenzi wangu, umenoga sana, yani aliewapamba, amefanya vizuri sana, make up zimetulia sana,
    shela pia nimelipenda, nakutakia maisha mazuri sana na ndoa yenye furaha,

    ReplyDelete
  13. Nimelipenda shela lako..pendezaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  14. naona mume mwenzake GERVAS alikuwepo mzee yusufu,haya dida maisha mapya hayo ingawa mshazoeana kwani mshakuwa na uhusiano kwa 4yrs

    ReplyDelete
  15. from nagoya jpn mlawaJuly 29, 2011 at 3:46 PM

    wacha wee kweli yametimia sasa,kilichobaki dumisha ndoa yako mungu atawajaalia.

    ReplyDelete
  16. tulia mdogo wangu kuolewa na kuachwa hapendezi kila wakati unaonikana una hila fulani

    ReplyDelete
  17. hongera kwa kuolewa tena kwa mara ya 7

    ReplyDelete
  18. mdogo wangu anaolewa dida nataka nikutume shela km hilo kutoka huko ulikolinunua kwani nimelipenda sana

    ReplyDelete
  19. KIMEKUSIBU NINI SHOST KUMBE YALE YALIKUWA YA MDOMONI TUU MAKUBWAAA

    ReplyDelete
  20. kwa mara ya kwanza maiko jakson wa bongo kapendeza na make up, thanks to shear illusions. maybe nawe utaolewa sasa, mana kujichubua mpaka unakua kama nyani, khaaaa! full ushamba. jamani dida u are cute,hua nakupenda bure

    ReplyDelete
  21. picha zako hazijatoka vizuri next time jaribu kujirekebisha!halafu umetoka simple tu wala huja change

    ReplyDelete
  22. Safi xana, mawaya wenye midomo mirefu kama chupa watajijuuuuuuuuuuuu.

    ReplyDelete