SHIKAMOO PESA,SHIKAMOO SAIDA KANYAU ALIMTUNZA MWANAE SIKU YA KUMFUNDA AMA KITCHEN PART ALOOOO TUMSHUKURU MUNGU TULIAMBULIA KUTUNZWA SIDIRIA TENA OVER SIZE KUDADEKIIIIIII SHIKAMOO TENA...

Wednesday, June 11, 2014 7 Comments

















7 comments:

  1. Shikamoo pesa watu wanakufa njaa nyie mnazitupa chini,Astaghafiru..lah

    ReplyDelete
  2. BONGO MASHAALLAH !ILA HARUSI HAZIDUMU JAMANI. SASA MZAA CGEMA ZAWADI ZOTE HIZO JE UMEMOA KIWANJA MWANAO? MAANA TUNACHANGIA ILA WATOTI WSNAINGIZA VITU NYUMBA ZA KUOANGA

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ndo kuandika mayeloo,,, au joto hasira, au umevurugwa na hivyo vtu

      Delete
  3. Mashauzi ya wauza SEMBE.. Dida usijifanye hujui na wewe ni mmoja wao.

    ReplyDelete
  4. amnunulie mwanae kiwanja cha nini wakati yeye mwenyewe anakaa nyumba ya kupanga hahaha mjini shule

    ReplyDelete
  5. MMMhh makubwa, mashauzi yote kumbe wamepanga., kweli shule muhimu

    ReplyDelete
  6. Kina mama huwa hamfikirii mbali, hivi binti aende na kila kitu huyo mwanaume hajiwezi kabisa? mume aliye na hekima atakuambia njoo na vyombo vya jikoni na nguo zawadi nyingine tutachukua tukipata nyumba kubwa, labda awe mume wa kulelewa atakubali atoe vyombo vyake aweke vyako vya kisasa ,unafikiri mume gani atataka wageni wa mwanamke wakikutembelea wanauliza hizi kochi ndio zile za kichenpart au carpet hizi zinadumu tangu kitchen part.Na side effect nyingine kwa mabinti zawadi zinawajengea kiburi mfarakano kidogo tu anajifariji kila kitu alikujanacho anaweza kwenda kupanga akaendelea na maisha. Baadae mnasema ndoa za hivi hazidumu kumbe mmetengeneza wengiwe kutokudumu, badiliken show za siku moja zanacost, Kama unampenda mwanao mpe biashara ya duka, saloon au chochote kitakachoongeza kipato ktk familia anayoiendea kuijenga.

    ReplyDelete