MTOTO WA KITANGA NILIYEAGA KWETU NIKAPEWA NA BARAKA ZA WAZAZI, NIMEKUJA KUTAFUTA CHAPAA SIJAJA KUPIGA PICHA DARAJA LA MANZESE KWIKWIIII...

Wednesday, June 25, 2014 9 Comments

9 comments:

  1. Hapana kabisa chezea dida w exden umependeza sana mama ya samira akina mwafurengo watasubili sana miaka 200000 hapana chezea ww kabisaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  2. Hapana kabisa chezea dida w exden umependeza sana mama ya samira akina mwafurengo watasubili sana miaka 200000 hapana chezea ww kabisaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  3. Dida hiyo braus imekuwa sare ya shule? naona mpaka penny anayo, Maandunje wa tanga mnamambo.

    ReplyDelete
  4. Umependeza dida pls nijuze Lace yako umenunua duka gani .Kizuri kula na wateja wako Blauz nimeipenda.

    ReplyDelete
  5. Anonymous wa 2.34 pm unawivu wa naendeleo kaoge eti maandunje nyooo sugua gaga ilo kwanza ndo uje ukoment umu povu linakutoka kisa joto hasira ugumu wa maisha waja kuzimalizia umu we mpaka kumpatia dida utasubili sanaaaaaa hahahahaha cheko lako ilo bibie

    ReplyDelete
  6. Umependeza lkn pozi la miguu acha simama kawaida mbona hujiamini kama wewe mzuri dada

    ReplyDelete
  7. aisee mdada nimemwona mumeo kwenye kipind chake tv1,anaonekana mstarabu xna,nawaombea maisha marefu kwenye ndoa yenu....

    ReplyDelete
  8. Pole na matatizo songa mbele usitetereke, yote yatapita kwasababu wewe ni Mwanamke mpiganaji.

    ReplyDelete