ALHAMDULILAH CHUNGU CHA PILI TUMSHUKURU MUNGU TUJISTIRI....

Monday, June 30, 2014 12 Comments

12 comments:

  1. tuambie ukweli je hayo yanayosemwa kma umemfania mumeo ni kweli mie naumia sana nilikuwa nawapenda sana

    ReplyDelete
  2. Vipi fumanizi. Pole sana

    ReplyDelete
  3. pole yako bidada.talaka ya tatu......

    ReplyDelete
  4. dida umetuvunja moyo sana mashabiki wako.

    ReplyDelete
  5. Aaww, dida shemeji kulikoni, na ramdam hii,,, mdada watanga hebu tete ndoa yako basi kila siku ndio mpya my sister, mmm yahusuu,,,sio sifa nzuri bwana sikwavile tumepewa uhuru wa talaka basi iwe tabu jamaniii,, he

    ReplyDelete
  6. Kama ni kweli,huzunika ILA usikate tamaa,mwenyez mung ndio mpangaj wa kila jambo,fanya kaz kwa bidii,inshaalah naamin wewe ni mdada mwenye uvumiliv,mungu atakupa subra,na kama Kuna njia ya kuyamaliza na Mumeo bac kaen chin muyamalize na msameheane

    ReplyDelete
  7. Kwanini alazimishe ndoa ka mwanaume anazingua? Kila mtu anapenda furaha mwaya ishi uonavyo ilimradi ww una amani sio kuogopa aibu wakati we ndo unaumia.

    ReplyDelete
  8. DIDA WASIKUTILIE JASHO MUME HAKUWA ROHO YAKO USEME MKIACHANA UTAKUA. KAMA ANAKARAHA MPE NOTIS YAKE .WACHE GLOBL WAANDIKE. WALIANDIKA MANGAPI NA WEWE BADO NI DIDA TU-SASA MUME AANYE BAYA UUMIE KISA NA MKASA - WAKATALAKA IENDELEE

    ReplyDelete
  9. Jamani mbona umbea umewazidi kwa nini mnapenda kufatilia mambo ya watu amna kz za kufanya nyinyi mana mpo busy kweli kama kuna kampun inayowalipa vl duh dida ahashwe asiachwe nyie yawausu nini fanyeni yenu yake muachiemi mwenyewe mana wakati wanapendana nyie mlikuwa amjui lolote na hata kuachana pia msijue kama ndo mpo kazini poleni sana nitadili na boss wenu awakate mshara mana story zenyewe amna uwakika nazoooo hahaha mjini raha sanaaaaaa

    ReplyDelete
  10. Hivi nyie wanawake mnao mshauri na kumcheka au kumlaumu mwenzenu kuhusu ndoa yake mnaakili kweli? Nyie mmeolewa na mkacheatiwa na mkavumilia!?? Badala ya kumuweka kwenye sala zenu, mnaleta maneno yenu ya kitumwa! Mnaudhi kweli walahi

    Dida my dear kama hayo yanayo semekana ni kweli, basi pole sana na muombe Mungu a kuongoze ili ufanye uamuzi wa busara. Ndoa ya 1..2..3...au ya mia nane haijalishi kikubwa ni amani ya nafsi. Allah anaichukia talaka lakini aliiruhusu inapo bidi, pole sana kwa mitihani my dear.

    ReplyDelete
  11. Tuambie dida kweli umeachana na ezden?

    ReplyDelete
  12. ride ndio mumeo sasa.

    ReplyDelete