BAADA YA IDDI SASA MWENDO NI ULE ULE WA KUTEMA CHECHE, NSTIRIRIKA KAMA MAJI YA MLIMA KILIMANJARO JIACHIE NAMI KUANZIA SAA SITA KAMILI 100.5 TIMES FM AU UNAWEZA KUNISIKILIZA KUPITIA WWW.TIMESFM.CO.TZ.

Thursday, October 17, 2013 7 Comments

7 comments:

  1. Dida nimependa hiyo trouser nyeupe hiyo shirt black na white vipo dukani kwako? Pendeza sana mamii!!

    ReplyDelete
  2. Mashaalwah Dida unawaka kaa mwanga .maana nikisema kaa taa huwa zazimika .
    umekonda vizuri .bsi tuwekee nyimbo mpya za Isha .
    mbona uko kumya na Isha mmeasiana au u busysio kama mwanzo

    ReplyDelete
  3. UMEPENDEZA MMMH NENE HAKUNA ILA NYWELE EMBU JARIBU KUTAFUTA VIWIG VIDOGO DOGO ,VINAKUONESHA KICHWA KIKUMBWA ILA DADA UMEPENDEZA SIUNAJUA KIZUR HAKIKOSI KASOO
    LOVE YOU MWAGA CHECHE TUPO WOTE
    WATUACHE TUBEBWE NA AMBULANCE
    MSEMO WA WATUACHE TULALE UMEPITWA NA WAKATI

    ReplyDelete
  4. Umepungua vizuri hiyo siri tupe wenzio kizuri kula na wenzio kibaya mtupie mbwa.shamim zeze.msemo.KKW

    ReplyDelete
  5. Umependeza sana Dida.

    Mama Tracey mdau kutoka Arusha

    ReplyDelete
  6. Mashaaalah!! Mi penda hiyo nywele ni wig au umeshonea? Jee wapii???

    ReplyDelete
  7. Umependeza mdada anayekataa ajitundike,love you so much.Napenda unavyojua kupangilia mavazi.

    ReplyDelete