ALHAMDULILAH NAMSHUKURU MUNGU SANA,BOFYA TU SINA MENGI MWEZI HUU.

Tuesday, July 23, 2013 7 Comments



 Mamu,Dida Mrs Ezden.











7 comments:

  1. Habari Dida, I like your shoes vinapatikana dukani kwako?

    ReplyDelete
  2. Habari yako Dida najua hakuna binadamu mkamilifu ila Allah (S.W.T), hata kama umevaa baibui unatakiwa ujistiri na kifua hapo ulipo bado unakosea kwenye mavazi tafuta mtandio mkubwa ujitande kwanzia kwenye kifua ili uweze kuziba shingo, kuna wanaume wanapata matamanio kupitia shingo,kifua,masikio. Natumai utakua umenielewa kama muislam mwenzio.

    ReplyDelete
  3. Naona unajihisi kubanwa na hizo nguo, unaomba leo kesho Ramadhani ikwishe uanze kutuonyesha tena mapaja na makwapa yako. LAKUVUNDA HALINA UBANI!!!!

    ReplyDelete
  4. Dida mdogo wangu unapendeza na kivazi hiki. Natamani mwezi mtukufu usiishe..
    Vp swaumu inapanda?

    ReplyDelete
  5. Mbona umepungua hivyo? au ndo sababu ya huko kuumwa?Mdau toka UK

    ReplyDelete
  6. mmmmmh watu mnamidomo kapendeza sana

    ReplyDelete
  7. Nikionacho ni pic kufanaina fanaina ...sijajua kinachomaanishwa hp ! pic 1 au 2 zingetosha kbs kuonyesha ulichomaanisha..!

    ReplyDelete