HAYA WADAU WANGU NIMERUDI TENA MZIGONI NAONA MMEJITAHIDI WENYE KU COMMENT YA KWAO NAWASIFU ILA MAJIBU NI HAYA,SOMA IKIWEZEKANA TAFTA MIWANI MAANA MHHH

Sunday, August 14, 2011 29 Comments

Namshukuru sana Mwenyezi Mungu wangu sababu mpk leo napumua bila ushuru,ila mmenikamia sana nafsi na si kama siwezi kunyamaza sbb mdomo siukatii BIMA wala VAT,ILA BINADAMU NAJUA MENGI SANA MMEONGEA KUHUSU NDOA YANGU, kumbukeni huko bomani haendi kuku wala nyani wanaenda binadamu kama mie hapa DIDA WA G,

Na ndoa hizi zimeanza tangu enzi za mababu kama zilikuwa zinawakera tangu enzi hizo mngekwenda kuzuia ndoa kama hii isiwepo, Walimwengu najua mengi mtaongea sababu maneno hayataniua, lkn ndio limepita jamani unayesema ooooh kaolewa bomani wewe yako hata ya polisi iko wapi? hayo ni maisha yangu na wala si yako kama dhambi na huko kwa mungu nakwenda kujibu mimi wewe unachomwa na nini?kipi kinakukereketa,au kukusugua nafsi?

Nawashukuru sana mnaotuombea ndoa njema, nawashukuru sana kama Mungu angekuwa hataki mpaka hapa tusingefika nalijua nilitendalo mimi si punguani kusema au ninachokifanya sikijui si mimi wa kwanza toka enzi za mababu so niacheni nipumue msinizeeshe kwa maneno, kuna watu mnatamani hata mtongozwe ila bakti inagonga ukuta bora hata ya bomani na nyie mnaoishi mahawara nani afadhari? Acheni hizo nimerudi jamani hamchokiiiiiiii.

29 comments:

  1. wape wape hao da dida,yao yanawashinda kuvalia njuga ya wenzao inahuuuuu,kula raha bibi we na G wako.
    by Saada

    ReplyDelete
  2. we nawe unapenda malumbano,km umeambiwa ya bomani si ni kweli tatizo liko wapi?c uwaache waseme hebu fanya ya maana,weka mambo ya kuelimisha na si kujibizana si uende kwa mzee yusuf akutungie wimbo basi uimbe tujue moja mtu mzima.

    ReplyDelete
  3. acha uswahili wewe dida kwani ukikaa kimya bila kujibu utaharibika nn? huyo mume atakuona bado hujatulia

    ReplyDelete
  4. Ndoa yenye kudumu na ya uhakika: ya kwanza ni KANISANI, ya pili ni BOMANI, ni hiyo mnayoitaka ni ya MWISHOOO, hii ya mwisho. Bwana akikuchoka tuu akirudi anakwambia chukua kilicho chako mama uondoke talaka hii hapa, hakuna cha mahakamani wala nini lakini bomani au kanisani hakuna kuacha ovyo utasota weeee mahakamani mpaka utajuta! DIDA acha nao wivu unawasumbua haooo wajinga wajinga kama hao wapotezeeee!

    ReplyDelete
  5. UZEEKE MARA NGAPI DIDA WA MBWIGA?SEMA USEMAVYO LKN UKWELI UMEUPATA!TATIZO LAKO UNA MASHAUZI SANA WEWE!NA UNGEOLEWA NA NDOA YA KANISANI AU MSIKITINI SIJUI INGEKUAJE!ETI DIDA AFICHWA KUHUSU NDOA YAKE?NDOA YENYEWE NI YA MKEKA?NAJUA UTANICHAMBA WE NICHAMBE HAINA SHIDA,USIMTUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO!MAKEKE MENGI TANTALILA KIBAO RADION END OFF ALL BOMANI!!!!!MPE HI SHEM MBWIGA MAANA DIDA WA MBWIGA UNA HELA WEWE?UZEEKE MARA NGAPI DIDA WA MBWIGA?SEMA USEMAVYO LKN UKWELI UMEUPATA!TATIZO LAKO UNA MASHAUZI SANA WEWE!NA UNGEOLEWA NA NDOA YA KANISANI AU MSIKITINI SIJUI INGEKUAJE!ETI DIDA AFICHWA KUHUSU NDOA YAKE?NDOA YENYEWE NI YA MKEKA?NAJUA UTANICHAMBA WE NICHAMBE HAINA SHIDA,USIMTUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO!MAKEKE MENGI TANTALILA KIBAO RADION END OFF ALL BOMANI!!!!!MPE HI SHEM MBWIGA MAANA DIDA WA MBWIGA UNA HELA WEWE?

    ReplyDelete
  6. achana na maneno ya watu dida,chaguo la kwanza labda hukupangiwa na MUNGU na ndio maana umepata mume mwingine na we bado binti ungekaa mwenyewe hadi lini wabongo bwana maneno yangekuwa bunduki ungeshakufa huyo ndo saizi yako hata kwa umri cdhani kama mmepishana sana,inshalaa nakuombea maisha mema na G WAKO BWANA,msonge mbele na muongeze familia yenu na muishi kwa amani.MTANGULIZE MUNGU MY DEAR.MWAAAAAAAAH......,

    ReplyDelete
  7. DIDA MSG SENT. HUO WOTE NI WIVU. MAISHA MEREFU NAKUTAKIA YENYE AMANI NA BARAKA TELE. WANAPOKUNENEA MABAYA BARAKA ZINAZIDI KUMIMINIKA WANASHINDANA NA JUA LIKISOGE NAO WANASOGEA LAKINI MWISHO WA SIKU WEWE NA G MNAPENDANA. STAY BELLESSED DADA.

    ReplyDelete
  8. DIDA WEWE NI MDOGO SANA NA UNA BAHATI WAKUBALI WAKATAE,BORA MIMI NILIONDOKA HUKO WABONGO WABAYA SANA NA WANA WIVU SANA MDOGO WANGU WATAKWAMBIA MENGI WATAZUNGUMZA MENGI JUA TU UNA MAHETERS KIBAO WATU HAWAPENDI KUWAONA WENZAO WAMEFANIKIWA VYOVYOTE ITAKAVYOKUWA KAOLEWA MISHI BOMBA NDOA YA BOMANI MBONA HAWAMSEMI?JIULIZE NA HATA LADY JAY DEE KAOLEWA NDOA YA BOMANI HAWAKUMSEMA UTADUMU KWENYE NDOA YAKO MWAMBIE G AWEKE PAMBA MASIKIO MMEDUMU MUDA GANI WA MAPENZI YENU SEMBUSE KUFUNGA NDOA IMEKUWA ISHU WATU WALIKUWA HAWAPENDI UPATE MUME UTANGE TANGE NA DUNIA LEO UMEMPATA MANENO KIBAO USIJALI KAZA BUTI ULIPENDEZA MNO WIVU HAO MA STUPID HAWANA LOLOTE ANGALIA MAISHA YAKO MNA WIVU MPAKA MNAJIONYESHA LIVE IDIOTS.

    ReplyDelete
  9. Huyu alosema ndoa ya kwanza ya kanisani ya pili ya bomani ana matatizo.

    ReplyDelete
  10. Achana nao, we songa songa mbelex2 wacha watu wakutete we songa mbele.

    ReplyDelete
  11. MIMI SIYO MPENZI WA KU COMMENT HATA KIDOGO ILA LEO ACHA TU NISEME WABONGO TUNA CHUKI ROHO MBAYA NA SIJUI MTU MPK ANAPATA MUDA WA KUFUATILIA MAISHA YA MTU NINI KAMA SIYO WIVU VINAWAKABA KABA HADI MNAJIKUTA MNATUMA COMMENTS ZA WIVU. MTAJIBEBA MAANA NDO HIVYO MWENZENU KASHAFUNGA NDOA HAIJALISHI YA WAPI. HONGERA SANA NA NAKUTAKIA MAISHA MEMA.

    ReplyDelete
  12. hahahhahaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!! yaani mwenzenu kaolewa mnakasirika kweli vijiba vya roho atiiiiiiii mbona haiingii akilini badala ya kumpongeza mnabaki mara imepanda kimeshuka hayawahusuuuuuuuuuuuuuu. Hayo ni maisha yake ndo maana mimi kurudu kuishi bongo ni ngumu watu mnaroho za kwa nini yeye??????? tuelimike jamani tupende maendeleo ya wenzetu na ndo tunapata Baraka. Au wivu kwa kuwa ndoa ya pili wakati wewe tokea uzaliwe haujatajiwa kuolewa au kuchumbiwa, IMEKULA KWAKO. HONGERENI MAHARUSI MUNGU AWAJALIE MAISHA MEMA

    ReplyDelete
  13. we anonyomous unasema ndoa gani ya mwisho?usitake tuchafue hali ya hewa humu kwa kuingilia vt usivyovijua we vipi,kama huwezi kuchangia ni bora ukanyamaza na si kuongea utumbo ina maana ndoa ya mwisho ni ya uislam?maana hukuitaja,usitake kuchafuana watu tuko kwenye swaumu saw?mpe ushauri unaofa na si kuingilia mambo usiyoyajua,kila upande una matatizo yake usifante tukaongea maneno mengi hapa,inaelekea hata huo ukristo huujui au huoni matatizo yaliyokuwepo ndani ya ndoa zao.

    ReplyDelete
  14. nawewe monica hapa hatuko kujua nani kaolewa bomani,tatizo huyo dida anajishaua sana alivyoachwa maneno tele oo mwanamke unaweza kuishi mwenyewe mara vile haya kiko wapi?hao uliowataja lady jay dee na mishi hao hawana mashauzi datz y watu hawasemi km imekuuma kusemwa dida meza chupa ila ukweli uko palepale harusi ya bomani yeye mpagani? km unadini ndoa ni ile ya kanisani au msikitini full stop.

    ReplyDelete
  15. hahahahahaaaaaaaaaaaaa uuuwiiiiiiiiiii, binadamu sisi!

    ReplyDelete
  16. jamani lipi jema kwa wadadamu?Dida wa G kaamua kufanya maamuzi ya busara kabisa au mlitaka aonekane kwenye magazeti ya udaku kwamba leo yupo na huyu kesho na yule ndo iwe raha kwenu??

    hongera Dida wanaokuugulia WATAJINYANYUA mwaka huu....si unajua mswazi mwenzake akipata roho...

    ReplyDelete
  17. Kwa hiyo wewe tatizo lako haswa lipi we bi shosti. Kinachokuuma sana hapo ni kujishaua au kwa kuwa kaolewa. Halafu mabwege kama wewe sijui mnatoka wapi eti harusi za Bomani yeye mpagani? Ndo ziko aina tatu kama bado hulijui, ya mila, dini na serikali haijalishi nini zote hizo ni ndoa tena ya bomani inanguvu sana nikuambie we bi shosti maana hata huku Ulaya inathaminika kuliko zote. Hata ukitaka kusafiri kuja huku kwetu ukionyesha hicho wala hamna upinzani sasa wewe baki tu kuumia mwenzi kashaolewa.

    ReplyDelete
  18. JAMANI NYIE HATERS, NDOA YA BOMANI INAMATATIZO GANI AU NI UPUNGUANI TU NA KUSHINDWA KUELEWA KAMA HUJUI ULIZA UAMBIWE KULIKO KUONYESHA CHUKI BINAFSI TENA YA WAZI WAZI HATERSSSSSSSSSSSSSSSSS PUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU. NDO KASHAOLEWA UTABAKI KUKUTEMBEZA TAFUTA WA KUKUOA NA WEWE.

    ReplyDelete
  19. Hi dida jamani hongera sana mpenzi,wasikuvunje moyo ndoa ni ndoa tu,kuna aina 3 za ndoa ambazo ni ndoa ya kidini na ndoa ya serikali na pia kuna ndoa ya ki mila na hizi zote zinatambulika kama ndoa popote pale,kwanza una bahati sana kuna watu tangu wazaliwe hawajawahi kuolewa, wanalia ucku na mchana wapate waume lakini hawajapata mpaka leo, sasa wewe ndoa ya pili hiyo umepata huoni kama ni bahati sana? achana nao mkabidhi Mungu ndoa yako aiongoze basi, pia kama hutajali naomba utuwekee picha zako za harusi maana wengine hatukufanikiwa kuziona.

    ReplyDelete
  20. kwi kwiiiiii kha kha mbavu zanguuuuuuu mieeeee yaani mewshushua sana hawa wanga hampendi mwenzao sababu mwanamke mtafutndio maana mungu anampa siyo anajishaua ni hatetereki maishani ndio maana wanamchukia dida uko juuuu nakupenda sana tena sana wewe ni muwazi na mkweli walitaka ufedheheke wakucheke kwani wao hawatamani hiyo ndoa?HAOOOOOOOOOOOO MIBWEGE NAZIIIIII JAZI ROHO MBAYA MUNGU AKULINDE KWENYE NDOA YAKO MAMII WANAKUCHUKIA WACHACHE UNAPENDWA NA WENGI.

    ReplyDelete
  21. MIMI NADHANI HAKUNA HAJA YAKUMUHUKUMU MTU KWA NDOA YAKE KAMA NI SAWA AMA SI SAWA MUNGU NDIO ANAJUA ZAIDI YETU,KIKUBWA NI KUMPA ONGERA NA AISHI VYEMA NA MUMEWE.

    ReplyDelete
  22. wote munaongea pumba tupu!hata huyo dida mwenyewe sijui kama ni mzima na ana akili timamu!

    ReplyDelete
  23. KARIBU SANA MUNGU AMEKUJALIA MPAKA HAPO .USIPENDE KUSIKILIZA YA WATU JALI MAMBO YAKO .BADILISHA MAISHA YAKO UMESHAOLEWA.TOFAUTI NA ZAMANI UKO SINGLE MAMA .SALA MUIMU DIDA. WENGINE HAWANA BAHATI HATA YA KUTONGOZWA.LAKINI WANALAZIMISHA WANATEMBEA HATA NA NDUGU ZAO KIMAPENZI.SO KUMSHUKURU MUNGU NDOA NDOA POPOTE PALE MAKUBALIANO YENU TU . HAO WASIOPENDA MAENDELEO YAKO .WAJINYONGE

    ReplyDelete
  24. TATIZO PUMZI NA UZIMA NDIO UNAKUZUZUA

    ReplyDelete
  25. We unaesema ulaya sijui ndo wanahusudu ndoa hizo wewe na ulaya yako ss hatuko ulaya na wala hatuna utamaduni wa huko,wewe mwenyewe umekimbia bongo kwa matatizo yako,ss wenzako 2na good life we baki na ulaya yako nyumba yako unashindwa kuimalizia we vipi?sisi wenzako ulaya kama kwenda k/ubungo sio wewe kuja Tz kwa kuvizia mpaka mume apate likizo!wewe dida hujamjua ila unamsikia dida ana mashauzi na uki dial nae ndo utamjua,ninachojiuliza mimi ni kwamba Dida wa mbwiga ni muislam than huyo mbwiga ni mkristo inavyoonekana kila mmoja amepinga kubadiri dini!sasa iweje muwe mke na mume ili hali kila m2 hataki dini ya mwenzake?hapo haiingi akilini kwa m2 mwenye ufahamu au wameoana kwa kua nae Dida amekosa m2 mwenye muelekeo wa dini yake!hapa ni usanii 2!we unaesema dida ni mdogo amebahatika au ni kwa kua hujatembea au kuona wa2 waliobahatika!wewe unanijua mimi nina umri gani na namiliki nini na nini ndani na nje ya bongo?dida anagonga kwenye 30yrs sasa,au bahati ya kupiga kelele radioni?sasa nikuambie wewe unaejiita wa ulaya mm nikiwa na 22yrs tu tayari namiliki mjengo wa 80ml mbezi beach!!na biashara kibao!sasa yeye Dida yupo na 30yrs sasa hata kwenye 50ml hayupo!wakati mm nacheza kwenye 400 au 500ml na nina 26yrs!na hizo pesa ni nguvu zangu mwenyewe hakuna hata pesa ya kumdhurumu mwanaume yeyote!mimi sina ugomvi na dida ila nakupasha shost wewe uliesema wa huko ulaya!shuka bongo uone wa2 wanavyopasua anga, kufanya kazi radioni ndo nini sasa hata mimi chumba changu kimoja naweza weka mitambo na nikadunda taarab kama kawa na kurusha,kiukweli dida amechemka hapo ni usanii kama siasa za bongo.We unaesema ulaya sijui ndo wanahusudu ndoa hizo wewe na ulaya yako ss hatuko ulaya na wala hatuna utamaduni wa huko,wewe mwenyewe umekimbia bongo kwa matatizo yako,ss wenzako 2na good life we baki na ulaya yako nyumba yako unashindwa kuimalizia we vipi?sisi wenzako ulaya kama kwenda k/ubungo sio wewe kuja Tz kwa kuvizia mpaka mume apate likizo!wewe dida hujamjua ila unamsikia dida ana mashauzi na uki dial nae ndo utamjua,ninachojiuliza mimi ni kwamba Dida wa mbwiga ni muislam than huyo mbwiga ni mkristo inavyoonekana kila mmoja amepinga kubadiri dini!sasa iweje muwe mke na mume ili hali kila m2 hataki dini ya mwenzake?hapo haiingi akilini kwa m2 mwenye ufahamu au wameoana kwa kua nae Dida amekosa m2 mwenye muelekeo wa dini yake!hapa ni usanii 2!we unaesema dida ni mdogo amebahatika au ni kwa kua hujatembea au kuona wa2 waliobahatika!wewe unanijua mimi nina umri gani na namiliki nini na nini ndani na nje ya bongo?dida anagonga kwenye 30yrs sasa,au bahati ya kupiga kelele radioni?sasa nikuambie wewe unaejiita wa ulaya mm nikiwa na 22yrs tu tayari namiliki mjengo wa 80ml mbezi beach!!na biashara kibao!sasa yeye Dida yupo na 30yrs sasa hata kwenye 50ml hayupo!wakati mm nacheza kwenye 400 au 500ml na nina 26yrs!na hizo pesa ni nguvu zangu mwenyewe hakuna hata pesa ya kumdhurumu mwanaume yeyote!mimi sina ugomvi na dida ila nakupasha shost wewe uliesema wa huko ulaya!shuka bongo uone wa2 wanavyopasua anga, kufanya kazi radioni ndo nini sasa hata mimi chumba changu kimoja naweza weka mitambo na nikadunda taarab kama kawa na kurusha,kiukweli dida amechemka hapo ni usanii kama siasa za bongo.

    ReplyDelete
  26. mambo dida ,mi ni mdau wako hupenda kusoma blog yako ,ila leo imenichoma , nikaona ni comment . mmh mi nilipitia pia mwenzangu watu wanasema ulimwengu huu uta waweza mwisho wa siku mi namambo yangu hanijalishi mtu ilimradddi unaishi na mmeo hamna wakusumbua bi mdogo [hawakulishi kuvishi,...]watasema watachoka ili mradi maisha yanaenda wasikukalifishee nafsi we na Bwa G ma dear achana nao midomo ndo kazi yao ..........watajibeba aaaa

    ReplyDelete
  27. wooowwwh ! unajua nini watu hatubishani ila watu hawajui kitu kuolewa bomani sikwamba watu hawana dini eti mkirist /mwislam no tuache yote kwani dini ni matendo ya mtu na sio [mimi mpagani ,au .... hindu,bodha ..] hayo ni majina tu kama mtu akiwa anaitwa jina [nina ,mimu,aja, n.k] kwahivyo mungu [alieumba huu ulimwengu ni mmoja tuu mkatae mkubali kila mtu atamwita jina lake ila atabaki pale pale mwanzomwisho . hivyo watu waache kuwaukumu watu eti huyu dini hii huyu ivi watu mtaacha lini ? mind u'r bussiness people

    ReplyDelete
  28. Junior mapajero Mlawa u.a.e nowAugust 30, 2011 at 2:32 AM

    Jamani wewe ni nani?na mbona umeficha jina lako hapo?duh wabongo c mchezo haya ye2 macho!lkn jamani punguzeni maneno!c fresh waacheni kwani si ndo walivyopanga wenyewe?hayo ni maisha yao!Jamani wewe ni nani?na mbona umeficha jina lako hapo?duh wabongo c mchezo haya ye2 macho!lkn jamani punguzeni maneno!c fresh waacheni kwani si ndo walivyopanga wenyewe?hayo ni maisha yao!

    ReplyDelete
  29. DA MI NANI SHIDA NA HUYO DDADA HAPO JUU TUU KUMBE WATU MNA MI ELA TANZANIA KIASI HICHO MAANA NAUZA KIWANJA NATAFUTA WATEJA SIJAPATA MI NAONA UTANITOA NA MI NIISHI MJINI AUSIYO pleas email yangu ni baby@hotmail.co.uk asante tegemeo langu kufanya kazi na we

    ReplyDelete