Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- HII NI KWA WANAWAKE WENZANGU WENYE WATOTO,MTOTO WAKO AKIFIKISHA UMRI WA MIAKA MINNE MPE MAZIWA YA NIDO NIAMINI.
- MY WEDDING DAY....
- Uzinduzi wa AIBU YAO AIBU YETU ya Hassan Ally, ulivyofana Vatican city Sinza
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
my dear hongera kumbe una nywele za kutosha, tembelea website ya Shamimu anamaadvice kibao ya kuhusu nywele kukatika etc, ila i hope katika Harusi yako utapiga weaving la nguvu.
ReplyDelete1.Mwone Shear wa Shear Illusion pia punguza mzigo wa maweaving kichwani zitaacha kukatika
ReplyDelete2. Mwone Shamim wa 8020 fashion akuuzie TT4z ni mafuta mazuri ya hair pia punguza kushonea na kujipaka migel
3.Mashallah una uhair mrefu acha kuweka minywele bwana
Cha kwanza kabisa kwa mtazamo wangu niupunguze kuweka lace wig kwani ile gundi yake inafanya nywele laini za mbele zisikue kwa kukosa hewa na hivyo kunyonyoka au kukatika.vilevile tafuta mafuta ya TZ444 kama sikosei yamenisaidia mimi sana kurudisha nywele zangu ktk hali nzuri waweza yapata kwa shamim zeze.
ReplyDeleteKwanza dada punguza kusuka rasta na mawiving yanakata sana nywele, kwa sasa wewe usiweke dawa zisuke tu nywele zako za kuzaliwa nazo mpaka uhakikishe zimejaa na zimeota sana, na baada ya hapo kama utaweka dawa nakushauri tumia product za olive oil, utakujaa kumbuka haya maneno imean zote olive oil cream, mafuta stearming nk. Kila kheri.
ReplyDeletemaashallah mtoto una nywele nzuri sana mie naona kwanza kabisa upunguze kuweka les wig inakukata nywele zako za mbele
ReplyDeletepili kama unapenda sana kulaza nywele yaani pony tail unafunga sana inachangania.
tatu wakikuweka dawa waambiwe wasiweke na za juu hasa hapo mbele aweke tu chini na asichane kwa muda mrefu
jitahidi usiku wakati wa kulala uweke moistaraiza alafu uzi rap vizuri na ufunge kitambaa cha satin ama kofa za kunasikia kuna mafuta yanaitwa sijui t4444 jaribu may be yatakusaidia mie sijatumia
au ukipata ziri nyengine na ikukusaidia utuambie na sie
kishuna
maweaving love ndo yanamaliza nywele mbele wangu zitunze tuu na ujaribu kuziacha zenyewe itakuwa sawa pole n loh mmbaya wewe hata kutualika wadau wako kwenye harusi haya hongera mwaya hehehehe hayawi hayawi leo yamekuwa alosema mtalaaka aolewi nani heheheheh DIDA juu juu daima mwaaah kisses haya waosha vinywa jimwageni uwanja nimewapa ila ukweli ndo huo dida mali ya mtu kuanzia nywele mpaka miguuu heheheehheh wakaogeeeeeee haoooooooooooo
ReplyDeleteshamimu wa 8020 ndo mtafute atakujuza. hongera dida kwa kufunga ndoa. kila la kheri mamii.
ReplyDeletembona nzuri tu?
ReplyDeleteahsanteni wadau wangu jamani kwa ushauri wenu nawapendaje?
ReplyDeleteHAYA TUWEKEE NA PIC ZA HARUSI YA NYWELE YASHAISHA.
ReplyDeleteDida unaonaje ufunge blog! manake inaonekana upo bizi sana na maisha na sie tuonapenda kusoma blog yako unatukosesha raha, kila tukichungulia ni habari za mwaka arubaini na saba! ni mtazamo wangu tu.
ReplyDeletenice hair,congrats
ReplyDelete