NDANI YA MOROGORO KTK KITCHENPART YA ELIZABETH URIO ILIKUWA BALAA BOFYA NDANI.

Monday, March 28, 2011 15 Comments

Alitinga na kivazi icho bibi alipendeza mno.
Elizabeth,Farida na mumewe mtarajiwa mambo ya mdhungu. Wakilishana kwa haba zito. Ndio vile mashostito ndani ya moro.

Kimya kimya.
Bi harusi kwa nyonga hatari akijiachia kwa raha zake.
Kivazi.
Isome kimoyoni.
Mamaa shangwe chezea.
Iwe boju.
Mwenyekiti.
Mhhhh watajuta.
Tenaaaaaaa.
We acha tu.
Weweee mambo iko huku.
Si la kichina shost unalishika uamini?
Mzuka ukipanda.
Mwanamke nyoga makalio hata kuku wako anayo.

15 comments:

  1. Mlipendeza Dida ila kitu kimoja huna weaving lingine, maana hilo lease weage tumeshalichoka kila picha yako na lease weage tafuta weaving lingine bwana...........
    Mbona yako chungu mzima au kama vipi nywele zako tuzione...
    Ushauri

    ReplyDelete
  2. Hongera sisy Eliza,jamani dida mbona sijamuona Indirghandi Urio na Suzy Urio,maimartha duuuuu nimekumbuka mbali enzi za skul KIGURUNYEMBE,Chekzeaaaaaaaa.




    Amina Zangira.

    ReplyDelete
  3. Malaya wote nyie...............

    ReplyDelete
  4. Huyo babu wa kizungu ana kazi, mtoto mbichi hope atakuwa akisaidiwa na vijana, siyo issue sana USD ndio zinazoongea.

    ReplyDelete
  5. hivi dida kwanini hutafuti poda inayofanana na ngozi yako,yani hiyo poda unayopaka sikuzote haifanani na rangi yako kabisa uso unakua kama kiambaza tofauti na mwili wako unavyoonekana kwenye picha,halafu eti wewe mfanya biashara unasafiri kila siku wakati huko unakokwenda ndio mwao lakini bado unapaka poda mbovu haiendani na wewe,au inawezekana unanunua poda nzuri tu na expensive ila hujui namba yako,nenda AMON au maduka yoyote makubwa watakufahamisha namba yako au hata ukimfata shamim zeze atakutafutia kila siku anazitangazia kwenye web yake,utapata namba yako bishost.

    ReplyDelete
  6. nashuuru mdau usijali nitajitahidi kutafuta hizo poda rangi yangu usisite kuniambia chochote.

    ReplyDelete
  7. Dida umenifurahisha sana kumbe wewe si mshari kama manungayembe mtu kakupa ushauri mwenyewe umeuchukua bila hata kuponda,wangekua wengne wangesemaa kutwa nzima big up mama samira! Umenchekesha neno WAKILISHANA KWA HABA ZITO! Mwaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhh

    ReplyDelete
  8. nimekupenda wajina hayo ndo mambo umeambiwa na umekubali unajua majina haya huwa hatupendi maneno dear big up mamii..

    ReplyDelete
  9. mhhh kama wazungu wenyewe tunaoolewa nao ndio hivi..aaah bora niolewe na mswahili tu..mbona kachoka hivi...uso umemshupaa utasema Mthungu maskini

    ReplyDelete
  10. Yaani huyo mdhungu nahisi ana kansa mbona nywele kwishney au ndo umri.

    ReplyDelete
  11. ahahahahah jamani wachangiaji mbona kuntuuu, ahahah eti ana kansa, , eti kibabu, mwenzako hapo anajari mshiko tu, alafu kujidaiiiiiiiiiiii kwa sana mbele ya wenzake kuwa ana pesa, mambo ya vibabu vizungu hivyo, ahahah, na kanavyojishaua hako kadada nilijua kana jamaa handsomeboy, leo mi choka kabisa,

    ReplyDelete
  12. mchangiaji wa juu inaelekea unamjua sana huyu dada,ukweli wacha nife na umaskini wangu, lakini kibabu kama iko , mmmh, alafu vinanukaga hivi vizee vya kizungu, yaani wana harufu kama edhi ya mwanamke iliyokaa siku 5, loooh yataka moyo kukisi, bora, babu wa kiswahili harufu yake, ahahahahah.weka picha za kibao kata basi Dida mpenzi, au ukwenda, maana mashauzi yalizidi kwa eliza oooh nitafanya hiki na kile. honeymoon nitaenda marekani kumbe kibabu kiko kampuni ya K.K SECURITY...ahahahah sitaki mie, ...dida ndio maana nakupenda,lete mambo mama usiye na makuuu, mungu akuweke.

    ReplyDelete
  13. lakini kweli hicho kibabu noma hata kama yaani inaonyesha hapo mapenzi hakuna ni mshiko tu kwa kwenda mbele.loooooooooooh kazi kweli kweli nawe unajisifu umeolewa na mzungu!puuh!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  14. we unamjua eliza unamsikia, mzungu hapo ni mshiko tu, ana kakijana fulani kadogo kanaitwa Ashraf anatembea nako kwenye gari kila siku anajifanya ni dereva wake, ndio bwanake, maana mzungu aisimami vema, kwahiyo kijana anamsaidia kukaza buti ahahahahah, chezea wasichana wa bongo, hasa waliojifanyaga mamiss, mhh

    ReplyDelete