CHRISTMAS KWA WENZETU IMEIVA KILA KONA UNAYOPITA HADI BARABARANI.

Tuesday, December 07, 2010 3 Comments

Haya tunasuuza macho.

We acha tu.
Popote pamepambwa.
upo.



nipitwe thubutu.

Hadi mahotelini chezea kwa watu.

Nimelipenda.

Mpaka nilishike chezea yeye.


3 comments:

  1. ninachokupenda dida wewe ni mdogo lkn ni mchakarikaji mno ukiamua kula bata unakula sababu unajua kuzitafuta mdogo wangu tunakutamani ile mbaya mungu akuzidishie wanakusema ndio kwanza mambo yako supa ishalla nakupenda sana dida wewe mjasiriamali na mwanamke wa shoka usiyebabaishwa na chochote.

    ReplyDelete
  2. hongera dada mungu akuzidishie uko nchi gani lakini dada, endelea kutuwekea kila kinacho jili huko tusuuze macho

    ReplyDelete
  3. safi sana dida kata mbuga wanawake na maendeleo bwana, sio kukaa vijiweni kupiga story, wao wakiwa wanapiga story we unakamatia pipa, kusafiri nje ya nchi kunaleta exposure akili inafunguka bwana
    hongera dia

    ReplyDelete