Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
- HII NI KWA WANAWAKE WENZANGU WENYE WATOTO,MTOTO WAKO AKIFIKISHA UMRI WA MIAKA MINNE MPE MAZIWA YA NIDO NIAMINI.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- MY WEDDING DAY....
- Uzinduzi wa AIBU YAO AIBU YETU ya Hassan Ally, ulivyofana Vatican city Sinza
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
inaelekea kakuchukia kweli dida uyu mtu,jamani we kinyang`unya acha kumchukia mwenzio kiasi hicho,kwani we unakereka nn na dida?nenda kwenye blog nyengine za wazungu hapa kwenye uswahili tuwachie wenyewe.
ReplyDeleteKAMA VP DIDA MPOTEZEE TU UYO NYANI,
ReplyDeletewanafiki hao Dida achana nao! ukiona hivyo wamekukubali, kwani hizo za wazungu hawazioni??? wanafuata nini huku?
ReplyDeleteMh kwa tabia hiyo labda ungeolewa na Idd Amin ndo mngewezana, mana ungekua unakula kichapo mpaka mhogo ungeita mhoho....
ReplyDeleteWewe si uswahili tu, ulimbukeni, upumbavu na utaahira kidogo utakua unakunyemelea. Unaharibu maana nzima ya ICT!!!
Ningekua na uwezo wa kuichakachua hii blog yako kwa virusi, acha tu .... tehe tehe teheeeeeee
Hayo ni mawazo yangu, si ndo unauza utumbo, usituchoke nzi sie.
Wewe Dida mdogo wangu mamii huwa unanifanya kila siku nifungue humu ndani kuangalia leo umekuja na maneno gani. Yaani huwa nacheka mpaka basi, mbona wanakukoma!
ReplyDeleteHalafu kweli kama wao wazungu huku uswahilini wanafuata nini? Eeh bidada waulize vizuri wanakufatia nini uswahilini kwetu? Si wakae huko uzunguni kwao au hakunogi! Kwi kwi kwii! Naomba na mimi unifundishe hayo maneno kweli wewe mtoto wa Tanga na Kimanyema maana mdomo unao hasa. Mimi naomba uniruhusu nitumie huo msemo wako wa "siwezi kumfurahisha jini wakati kiti anakonda!" Hehehee halo ya leo kali umenifanya mpaka nimepaliwa na chakula!
Mimi nashangaa sana mashauzi ya kizungu kuna watu wanayazimia kweli, kuna blog watu wanajisifia kiiila siku na picha nyingine wala hazitusaidii maishani ndio mnaona ustaarabu? Dida mtoto wa pwani na blog yake ya kipwani mwacheni ajidai kwenye uwanja wake. Ni mswahili na yuko proud sasa nyie waswahili mnaoutukuza uzungu msiingie humu ndani kabisaa tuachieni kauzu zetu na nyanya chungu na nguru tujisonsomole
ReplyDeletesiku zote hata kama mtu kasema maneno yamekuumiza usipende kumuonyesha kwamba limekupata kwa kumjibu mkalie kimya mwisho wa siku atajiona mjinga nae atanyamaza lakini kujibu kwako unapalilia hali ya majungu kuendelae usipende adui akujue uko upande gani ili uweze kumshinda dida kazi njema
ReplyDeleteduu kumbe mtoto wa kitanga basi hapo starehe tupu
ReplyDeletehahah dida umenifurahisha na misemo yako hata sijui ngonda maana yake nini jamani wadau hebu msaada wengine sie watu wa bara hatujui ngonda ukimpika ufunike hahaha yani sielewi nikitu gani
ReplyDeleteswahiba
Duu! Kweli wewe hushauriki! Wengine hukushauri kwa nia njema kabisa. Kwa vile leo umesema hutabadilika basi kuanzia leo na mimi ntakuwa NZI maana umeamua kuuza utumbo! Ha ha ahaaaaaaaaaaaaaaa! Mbavu zangu mie!lol!
ReplyDeleteJamani tujuzeni wengine basi! Ni kina nani hao wazungu wanaomsumbua Dida?!!???!
ReplyDeleteDada wa bara ng' onda ni samaki mkavu aliyeanza kama kuoza hivi au wakati mwingine anakua hata hajaoza, anapakwa chumvi kibao na kukaushwa kwa jua. Sasa hiyo harufu yake usiseme ni ya uvundo ukimbeba kila mtu anajua umebeba ng'onda ila mtamu kwa nyanya chungu na bamia kisha umtie nazi, kipande kidogo waweza maliza sufuria ya ugali. Akichomwa mpaka mtaa wa pili watajua kunachomwa ng'onda leo!
ReplyDeletehumu umbea hakuna sijui kusema K alimsema Q kwamba M katembea na Z mambo hayo ya ushankunaku humu hakuna kabisa, ni mipasho lenye kumchoma limchome lenye kumvutia limvutie lenye kumuudhi akanywe maji akalale. Kama ni nzi wazidi kufuata utumbo maana mavi na harufu wanavipenda mpaka wafie utumboni au sio Dida? ndio maana yake!
ReplyDeletemama hatusemei uzungu wa ukabila tunasemea tabia yako shostitooooo.kama waleeeeeeeeeeee .hahahahha poleee mwayaaaaa
ReplyDeleteShost hakuna cha wazungu wala nini! Ni yeye tu akishauriwa apunguze uswahili (maneno ya vijembe yasiyo na maana yoyote) anadai wanaomshauri hivyo wanajifanya wazungu.
ReplyDeletemi naomba nikushauri kitu kimoja,punguza podaaa mama,unaipaka kupitiliza mpaka inaboa badala yakupendeza unatisha.
ReplyDelete