NENO LA LEO.

Tuesday, October 26, 2010 14 Comments

Mti wenye matunda mazuri ndio unarushiwa mawe,na huwezi kuchukiwa na wote wapo wachache watakaokupenda na tambua ya kwamba ukimchukia mwenzio kipo alichokuzidi ndio maana unakerekwa,usimuhofie binadamu mwenzio akikusema ni maneno tu hata kwenye milango ya vyooni yapo jamani.Na unakuta binadamu ukimuona mwenzio kaajaliwa japo robo huwezi msifia sababu wewe hujajaaliwa msivunjike moyo mnaotafuta hao ni waja wanaozeekea makwao hawana mbele wala nyuma msigope kusemwa wanakufungulia njia yako yanakuendea bibi.

14 comments:

  1. hilo nalo neno watajibeba wasiopenda mafanikio wapo ewngi kama nini ujanja kuwapotezea.





    Amina Zangira

    ReplyDelete
  2. Tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Message sent and delivered. wataisomaaaaaa japo kimoyomoyo. Ukiufunga wa kwako mlango jua wa Mungu u wazi jamani.
    Dida shitua kijoti watakutaka mama ya Milenia.

    ReplyDelete
  3. leo umenena mama kweli mti wenye matunda ndio hupondwa mawe na ukiona mtu anakusema au anakuhofia ujue kuna jambo unamzidi umenifurahisha

    ReplyDelete
  4. jamani dida unanifurahisha sana kwa maneno yako mana huwa hujali watu wanasema we mswahili we unafanya unachokitaka wewe tu na ukiona watu wanaumia basi ujue ujumbe umefika, kwakweli hii blog inatupa raha sana, fanya kile kitu roho yako inapenda lakine usifanye kuwarizisha watu alafu uuzi nafsi yako, utakufa mapema bure au utaugua ugonjwa wa moyo,

    ReplyDelete
  5. wapiiiii wasiopenda maendeleo ya didaaaa msumari huoooo

    ReplyDelete
  6. Ushamba na uswahili ndio unaokusumbua, subiri usifiwe na kupongezwa.

    ReplyDelete
  7. Nimeipenda hio mamaa dida/tell me hiyo lace wig km yko ntaipata wapi nimeipenda'lol

    ReplyDelete
  8. anony hapo juu we una uzungu gani? na kama mzungu hapa umefata nn?timua kulee,huna cha kuandika?nyooo vidole vibayaaa ka chane ya ndizii,tumekuchoka uswahili,uswahili wivu tu unakusumbua....

    ReplyDelete
  9. wee unaesema dida anakufurahisha maana hajali maneno ya watu wanaosema,wee pia ndio walewale maana mtu kama hajali huna haja ya kujibizana na mtu,angepuuzia tu. lakini ndio vile tena

    ReplyDelete
  10. Dida kwa level yako kama kioo cha jamii unatakiwa kuignore mambo kama hayo, kama kuna mtu ameshindwa maisha yake nakufatilia yako basi ni mjinga and ukipotezea ndio inaonyesha value yako. Otherwise daa... unatuonyesha ujinga wako...

    ReplyDelete
  11. Mnaojitia uzungu hamna uzungu wowote tena ukute nyie ndio mmetoka kule uswahilini kabisa kule Tandika kwa Maguruwe au Tandale kwa Mtogole sasa kwenda nje ndio mnajifanya wazungu kkumbe si lolote ni chavy tu!

    ReplyDelete
  12. HILI NENO DIDA..WAPE WAPE MAMA

    ReplyDelete