KUDADADEKIIIIII MFUNGO USIISHE KAMA ALSHABAB WA KIKE AHAAAAAA. ...

Thursday, July 03, 2014 7 Comments

7 comments:

  1. no confidence ndiomana unavaa hivyo,tunawaonea wanaume sana.edzen atabaki kuwa mwanaume tu.polee

    ReplyDelete
  2. Mashaallah! mdada umependeza sana ila huendani na tabia zako kwann usitulie kwenye ndoa yako?hayo mambo ya kidunia yatakupeleka wapi?yaani uko ladhi kuwachwa kwa sababu ya big brother kweli wewe ukikaa ukifikiria inakuingia akilini?jirekebishe usione km vile umeyapatia maisha sio kweli mungu yupo na anakuona vitendo vyako take care my dadaaaaaaaaaaaa Ramadhani kareem!!!!!

    ReplyDelete
  3. Huna lolote umeachwa, aibu tu umeitia familia yako haswa mama yako mzazi. Mtoto wa kike huna haya, ndoa 3 na bado unajiita una bahati? wenye nahati wanaolewa na kutulia kwenye ndoa zao sio wewe kila unakoingia panakushinda. Kawe sister tu sasa tujue moja. Unalo.

    ReplyDelete
  4. Mavazi hayo na big brother wapi kwa wapi, wacha unafiki.
    Upo single sasa, unaweza kwenda huko big brother 'ukafanywe' hadharani!! Mwanamke ulokosa haya wala hujui vibaya, unatia aibu, msungo mkubwa!!

    ReplyDelete
  5. Bado unaona haya tuu, huna lolote bitch dida

    ReplyDelete
  6. Jivunue Dida unajulikana hujatulia na utu uzima ulonao. aibu

    ReplyDelete
  7. Duh umependeza sana hata ukiisha uvae hivyo hivyo dia sawa mamitoo mwa mwa

    ReplyDelete