DIAMOND MUNGU AKUJAALIE UZIDI KUFIKA MBALI KAMA IPO IPO TU MPK ULIPOFIKA UMEWAKILISHA VYEMA NCHI YETU......
WASANII 12 WA TANZANIA WENYE NGUVU ZAIDI MWAKA 2014
Wana
mashabiki wengi, miongoni mwao tayari ni mamilionea (wa shilingi), wapo
wenye mijengo, magari ya kifahari, miradi ya biashara, makampuni,
endorsements na vitu vingine. Hawa ndio wasanii 12 wa Tanzania wenye
nguvu zaidi mwaka 2014.
Diamond Platnumz
Diamond
Platnumz ndiye msanii anayeandikwa zaidi kwenye vyombo vya habari
Afrika Mashariki kwa sasa. Hadi sasa Diamond amefikia hatua ambayo
haijawahi kufikiwa na msanii yeyote wa Tanzania. Ndiye msanii mwenye
show nyingi zaidi kwa sasa.
Kimataifa
2014 umekuwa wa mafanikio zaidi kwake kuanzia kutajwa kuwania vipengele
viwili kwenye tuzo za MTV MAMA, BET Awards, kushiriki kwenye wimbo
uliokutanisha mastaa takriban 20 wa kampeni ya ‘Do Agric’ ‘Cocoa na
Chocolate, pamoja na wimbo ‘Africa Rising’ uliomkutanisha na wasanii
kama Mi Casa Music, Davido, Sarkodie na Tiwa Savage.
Pia
pamoja na kufanya wimbo na Davido, Diamond ameshafanya collabo na
wasanii wengine wa Nigeria wakiwemo Iyanya, Waje na Dr Sid pia hivi
karibuni ameshirikishwa na kundi la Afrika Kusini, Mafikizolo.
Pamoja
na kukosa tuzo za kimataifa alizotajwa kuwania, staa huyo mwaka huu
alivunja rekodi kwa kuchukua tuzo zote saba alizotajwa kwenye KTMA na
pia kushinda tuzo za watu zilizotolewa June 27.
Akiwa
na video mbili mpya kibindoni, moja ya wimbo aliofanya na Iyanya na ile
ya wimbo wake ‘Mdogo Mdogo’, Diamond ana uhakika wa kuendelea kuutawala
mwaka 2014.
Lady Jaydee
.png)












HAPO NDO WATANZANIA TUNACHELEWA . WATU WANATABASAMU MPAKA MWISHO WEWE UNAWAZA KINGEREZA CHAKE ,SIUNGEENDA WEWE
ReplyDelete