UKIONA UMEBANWA KWANGU UTASOGEA...

Tuesday, January 21, 2014 9 Comments

HIVI NYIE MNAOKUJA UMU MSINICHAMBISHE BILA KUNYA SIJAMTAJA MTU JINA NA SINA NINAYEMUOGOPA UMU DUNIANI ZAID YA MUNGU NA WAZAZI WANGU NIMTAJE WEMA NA PENNY WANANIHUSU NINI KWENYE MAISHA YAO MSHANIONA NACOMMENT VITU VYA KIJINGA KUHUSU MAISHA YAO YANGU YANANISHINDA KWA NINI NI BEBE BANGO YA WATU, MNAOSUBIRI NIACHWE SIJAKWAMBIA EZDEN BABANGU MZAZI KUSEMA HATUTAKOSANA ILA KWA SASA MTASUBIRI TRENI BUS TERMINAL UYO WEMA NA PENNY WANANIELEWA SIINGILII MAPENZI YA WATU NADUMISHA YANGU YAO HAYANIUSU KWA IYO ANGALIENI CHA KUTAMKA SINA MUDA MCHAFU WA KUONGELEA MAPENZI YA WATU,MSIMTAFUTE MCHAWI FANYENI YENU HUJALAZIMISHWA KUFUNGUA BLOG YANGU KILA KUKICHA MANENO SIPENDI NIACHENI NIFANYE YANGU NAANDIKA NINACHOTAKA TUWAACHE PENNY,WEMA,DIAMOND NA MAISHA YAO MWISHO WA SIKU WAO NDIO WANAJUA MAISHA YAO NAANDIKA MAMBO YANGU NAJIGUSA MIE MWENYEWE NA WENGINE SO ANGAIKENI NA YENU....

9 comments:

  1. tell them madam wamezidi

    ReplyDelete
  2. MIND YOUR KAZI DIDA
    A NEGATIVE MIND WILL NEVER GIVE YOU A POSITIVE LIVE.
    SIJUI NIKUWEKE KUNDI GANI SASA WEWE UNASAFISHA KINYWA UKU UMEWEKA MSG YAKUNYWEA CHAI SASA UNAMFUMBIA NANI KAA SIO HAO HAO WANAOKUTUMA,
    MUME NA MKE WANAACHANA NA WANARUDIANA SASA AJABU IKO WAPI?
    KUM.. INAACHA ALAMA YA MTU .WEWE UMEWEKE MSG CHINI JUU UNAANDIKA NINI?
    USIOGOPE SHOMBO BABUU NA WEWE UNAUZA UTUMBO KWA MAPENZI YAKO
    LOVE YOU

    ReplyDelete
  3. Waambie hao dida wamezoea kusema sana wafanye yao na wakuache miaka yote we na mume wako

    ReplyDelete
  4. umeongea point kbsaaaaaaaaaaa dada yngu live yua life let them be and their life

    ReplyDelete
  5. pole dada hao ndi wanadamu walivyo m nina kero yangu ntakupaje ili nikwambie

    ReplyDelete
  6. Wameshavurugwa hao wapotezee kubishana nao ni sawa na kubishana kichaa asivue nguo. let them say kila mtu ujumbe ameuelewa kwa njia yake sasa hao wajuzi wa kutafsi tayari wameshatafsiri wanavyojua wao. let them say . piga kimya pia nijibu tosha .

    ReplyDelete
  7. diamond kamuua wema alivyomrudia,wakubwa tunajua...

    ReplyDelete
  8. KWA MTONYO GAN EBU TUPE HBAR ZA TOWN UMBEA AUNA KIDGO AU

    ReplyDelete
  9. Achana nao maisha yao wenyewe maagizo sasa wewe unahangaika nao wa kz gani vilaza hao

    ReplyDelete