KAA UMOOOO.

Wednesday, January 29, 2014 14 Comments

14 comments:

  1. safiiiiiiiiiii sijui nikupe nini dida wanaokuchukia walibemendwa utotoni tunapenda vipande vyako mpk redioni tunakufagilia UK tutakualika mamii unatisha wanaokuchukia wachache mpk wanaume wanasoma blog yako tunafanya kupigiana simu fungua kwa didaaaaaa ahaaaaaa mungu akuweke unatupa raha tukiwa na hasira tunakuja umu uko juu kimaisha mpk mambo yako haters hawakosekani achana nao wazungu tu wambea sembuse waswahili kuna mtu hadi anaitwa dida uku walah kwa ajili yako ikifika saa sita tunaenda kwake kukusikiliza mpk saa kumi umejaaliwa kipaji tutakualika soon uje uku tunakupenda mno mamii mmependeza na mumeo mashallah mpenzi tupe raha.

    ReplyDelete
  2. WEWE NI MWANAMKE BWANA UKO JUU UNATUFURAHISHA HAPA OFISINI UTATUFANYA TUFUKUZWE KAZI WENZIO TUBAKUPENDA DIDA

    ReplyDelete
  3. hahahahaha nimecheka mpaka nimejikojolea.

    ReplyDelete
  4. Sijawahi cheka hv tokea niingie kwenye blogu yako dida Wa E eti ndondocha la kihindi

    ReplyDelete
  5. Wapeeeeeeere makavu live bila chenga natamani mashost zangu wapate huu ujumbe kwan wamezidi kujishauri wakitafuta ma HB wanaishia kulizwa kila mwezi. Mimi Nina mume wanamponda kucha kutwa ila ni miaka 2 na kitu sasa hatujawahi hata korofishana. Walinambia hajatulia sasa wakija kwangu wanaishia kuninunia kwa jinsi tulivyo na aman

    ReplyDelete
  6. Mawords kuntuuuuuu

    ReplyDelete
  7. Mhh MUFLIS.jipangeni upya na kablogi kenu.siku mkipata watu hata kumi wa ku comment mtaenda kutoast coco beach.hodi hodi,mie mgeni humu.naja wachangamsheni

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ww shenzie nan alikwambia tunataka comment zijae humu kwani ni chakula useme zinaliwa. ....mfyuuuu kama hakuna comment kimekuleta nn kama sio Husda jichunge sana binti ukiwa MNAFKI UJANANI utakuwa MCHAWI UZEEN.....

      Delete
  8. mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm

    ReplyDelete
  9. Dida maneno yako sometimes matamu kama chocolate. I salute you

    ReplyDelete
  10. WEWE CHAKUBIMBI SIJUI MATAKO GANI KINACHOMATA ANAFOLLOWERS WANAENDA KARIBIA MILLION TATU SASA COMMENT ZINAMSAIDIA NINI KILA KUKICHA LAZIMA WATU WAIPITIE HANA SHIDA YA COMMENT ZENU ZA KISENGE SAFI DIDA USIWAJIBU TUTAKUJIBIA

    ReplyDelete
  11. haaaa dida umenikosha

    ReplyDelete
  12. Me penda wewe sana.

    Mariam Morogoro

    ReplyDelete
  13. Maneno pambe haswa kuna kijana anataka kunioa shusti ni mfupi na mm mwenyewe Mashallah.. Mashosti wanatusemaje sasa na mm nishaamuwa liwalo na liwe tabu gani nikae kuchagua sura kwan naenda kupikia supu hiyo sura????

    ReplyDelete