Most Popular Posts
-
AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
-
ZARI'S BIRTHDAY ZANZIBAR....
-
SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
-
WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
-
MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI.... KHERI KWA KILA MTU
-
MY WEDDING DAY....
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
-
HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
-
THE AFTERMATH...
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
.png)





ushaiba mume wa mtu??? maana hukawii wewe na jidee.
ReplyDeletehongera
ReplyDeleteHONGERA SANA DIDA KURUDIANA NA G
ReplyDeletemwanamke mume bibi weweeeee,hongera mamito ila punguza Cream ngozi ya mkono inaonekana imekomaa sana
ReplyDeleteAnonymous April 17, 2013 at 12:46 PMJide alimuiba baba yako kwa mama yako. We Mburura nini?
ReplyDeleteMfyuuuuuuu wa kuolewa utakuwa wewe sanamu la michelini watu wana eat and run panya wewe
ReplyDeletehahaha kithungu bana ati wana eat and run my dear ni hit and run mwee google are there for us!
DeleteGoogle is there for us na we, sio are there for us. Na wewe tumia google lol.
DeleteHahahahaha lugha ya wenyewe hiyo jamani tutumiage tu ya kwetu tuliyoizoea. Asante sana mdau ameisoma kimoyo moyo hiyo. Wa kuolewa ndo yeye huyo Dida kama kusoma hujui na picha pia huoni? Eti eat and run! Si unaona karudisha manyanga mwanaume kama imekuuma meza kaa la moto.
DeleteINGINE TENA SHOSTI, UPO JUU ILE MBAYA
ReplyDeleteHivi ndoa ya bomani ina talaka.......? Au ni kusigana na kurejeana kwa kiapo cha katiba ya nchi.......MAKUBWA!!!!!
ReplyDeleteHayo ni mema na wenye nia njema ndo tuyaombeayo
ReplyDeletekula taratibu kwa raha zako
Hahahahah... Kuna watu mna midomo duniani..hahahahhah...
ReplyDeleteEt ushaiba...
Hongera dida
nimejifunza kitu kwako, kusamehe na kusahau, maana yule bwana kwa aliyonitendea leo hii ananiambia turudiane naona roho yangu inakumbuka ya zamani. nifanyeje ili niweze kurudiana na mume wangu na tuishi kama vile hakuna kilichowahi kutokea kati yetu?
ReplyDeletejmn nyie watu amemuiba nani tena...wkt karudiana na mumewe kugombana na kurudiana ni kitu cha kawaida sana kwemye ndoa...hongera dada Dida
ReplyDeletedahhhhhh binadamu jamaniii,walipoachana mliongea shombo,wamerudiana mmetengeneza shombo zingine,binadamu ni lipi jema kwenu??????????kumbuka hakuna aliye mkamilifu chini ya jua bt tofauti ni kwamba yeye ni star na always mambo yao huwa open,hebu fanyeni yenu wafanye yao,wengine humu mna matatizo magumu bt kutwa kumfatilia mtu kalalaje,kaamkaje,kaachika karudiwa,mwenzio ana maendeleo wewe kazi kukalia ya wenzio huku yako yalishakushinda,dida ana kazi zake tena zinazo muweka vizuri hapa mjini je utaweza kushindana naye?kuweni wastaarabu nynyi viumbe,unajickiaje raha,furaha pale mwenzako anapopata matatizo,hii ni dunia leo kwake kesho kwako,hongera dida Mungu akupe amani ktk ndoa yako
ReplyDelete