MCHAKATO WA KUWAPATA WASHIRIKI WA5 WA EBSS KUTOKA DODOMA ULIVYOKAMILIKA NDANI YA ROYAL VILLAGE HOTEL

Monday, June 18, 2012 1 Comments

Wakina dada ktk pozi kabla ya kukutana na majaji

Wakina kaka ktk pozi kabla ya kuonana na majaji

Awaichi Mawalla akitabasamu wakati anaongea na mtu wa damu salama

Kundi la kina kaka likiwa ktk picha ya pamoja kabla ya kuonana na majaji

Awaichi Mawalla wa Zantel akichangia damu 

Mshiriki wa EBSS akiimba na kupigaguitar kwa nguvu zake zote ili majaji wamkubali na apate fursa ya kuwakilisha Dodoma

Mshiriki wa EBSS akiimba kwa nguvu ili aweze kuwashawishi majaji wamchague  

 


























 
Mshiriki Fabian Peter Kikoko akitupa burudani pindi anavyosubiri kuingia kwa majaji

Agent wa Zantel Ezy pesa wakiwemu huku Royal Village kuwapa watu taarifa na huduma ya Ezy Pesa

 Mpiga picha wa Benchmark productions akiwa na watu wa damu salama akijiandaa kutoa damu

Majaji wakifanya majadiliano 

Msururu wa washiriki wanaosubiri kufanya usahili

Washiriki wakipeana ushauri na wakipiga soga wakati wakisubiri zamu yao mbele ya majaji
 
Winner Lucas, mwenye miaka 22, mwanafunzi wa UDOM, Rapper wakwanza wa kike kwa siku ya leo

Huyu mshiriki aliimba nyimbo iitwayo AMAZING GRACE kwa namna ya kipekee

Madam Rita Akitoa damu.

Majaji wakijadiliana kuhusu mshiriki kabla hawajampa taarifa kama amepita au ameshindwa

Mshiriki wa EBSS, Joha, akimkabithi Madam Rita mtoto wake ambebe pindi alivyokuwa anaimba.

Mshiriki mdogo kuliko wote katika shindano la EBSS ndani ya Dodoma akiulizwa umri wake

Msururu mrefuuu wa vijana wa Dodoma wakijiandaa kufunguka



DIGNA MBEPERA akiwa mbele ya majaji akifunguka FILFRED ARNOLD, Mwenye miaka 22, akipasha kabla hajaingia chumba cha sindano

1 comment:

  1. Right now it seems like Movable Type is the preferred blogging platform out there right now.
    (from what I've read) Is that what you're using on
    your blog?

    Review my web page :: homepage ()

    ReplyDelete