HONGERENI JANE JANDWA NA MUMEO HALALI MUTTA LWAKATALE MJILIE KWA NAFASI,KARIBUNI KWENYE CHAMA.

Wednesday, May 30, 2012 10 Comments

 Jikeki.
 Baba na Mama  Lwakatale wakipokea zawadi kwa Mtoto wao.
 Mutta akitoa utambulisho watu walikuwa wengi kiasi kwamba kwenda kupiga picha unaona nooooooma nilikuwa na zoom kwa mbali.
 Class mate wangu Jane akimsikiliza mumewe alipendeza sana aisee chezea mama mkwe mama lwakatale kawakabidhi gorofa chezea wengine wanapewa mikuki na mapanga wakakatane vizuri.
 Tulikutana watoto wa makongo palinogajeeeeeeeee?
 Maharusi wakiwa wamekaribishwa rasmi.
 Vipozi vya nje ya ukumbi bibi ndani nisingeweza nimejinenepea mtoto wa kike nifanyeje niliyempenda nimeshampata .kama raha ndio kwanza nazipata mwenzenu najiachia nahamu ya kutukanwaaaaaa.
 Rehema mianji watoto wa makongo pendezaaaaa.
 Nanaa huyo ndio kiboko kurekebisha wenye vipara na kutupachika lace wig mjini hata kama una kichwa cha bolt ha ha ha haaaaa.
 Milley mbombo mamaa ndama mtoto ya ng"ombeeee anavituko eti kaweka pozi.
 Unyayooooooooo
 Full kujiachia yaitwa iyoooo
 Wakina msipitwe piga mpaka kwenye mapambo mambo ya mlimani city.
Pozi nyingi ila tunawatakia kila la kheri mdumu kwenye ndoa zenu kama mie nina mwaka wa kumi heheheyaaaaaaaaaaaa wanagunajeeeeeeeeee.

10 comments:

  1. Mamayoooo dida...

    ReplyDelete
  2. mi ndo napokupendea dida unajuaje kuwachamba vizabizabina wenye kujifanya wana midomo mirefu kama chupa ha ha ha kazi kwao ndoa zilizowashinda watabaki kuzua tu mara kaachwa mara kakimbiwa mara katorokwa ha ha ha kweli usilolijua litakusumbua endelea mama kuwapa vidonge vyao big up dida

    ReplyDelete
  3. Vipi Dida, hiyo issue na Pombe maanake ma mkwe ni Bonge la Mchungaji. Maanake mlivyolipuka sithani ilikuwa ni Juice only!!! Ha ha ha ha

    ReplyDelete
  4. hana lolote kujishaua tuu, shepu huna kilichobaki ni mdomo mkubwa. toka lini mwislamu akaolewa na kafir... unazini na kuidanganya nafsi yako.. dida

    ReplyDelete
    Replies
    1. We ndio Kafri mkubwa manina...kwa nn umwite mtu kafri kisa dini yake! nyang'au wewe

      Delete
  5. unafanya vizuri kwa blog yako lakini nunua kamera nyingine picha zako hazionekani vizuri dear,u dont have publish this.

    ReplyDelete
  6. huyu bwana harusi ndio alifumaniwa akiwa na mkewamtu kabla ya harusi???

    ReplyDelete
  7. uko mchafu we dida na hao mashogazooo!!! hebu jifunzeni kuwa classy jamani loh!!! huyo mama pedezhee mbona rafu sana wakati pedezhee huwaga ana madem wakali hatari!!! watu wazima ovyo kweli nyie...hebu kueni, nyokozenu!!!

    ReplyDelete
  8. wewe anonymous wa saa 5.55 AM Muogope Mungu,kwa lipi sana ulilokuwanalo mpaka umwite mwanadamu mwenzio kafiri?wewe unaweza kuumba hata unywele mpaka umuone mwenzio hafai mbele za Mungu?uislam ni dini imeletwa na waarabu kama ilivyoukristo ulivoletwa na wazungu!usishobokee sana dini as if ukiwa muislam tu ni gatranteee ya kuingia pepon!what mattars kwa Mungu ni matendo yetu na sio dini za hapa duniani. mind u!wambie na wabaguz wenzio mbingu hamtaiona kwa ubaguz huo!unakariri dini!!!!utaumia mfyuuuuu

    ReplyDelete
    Replies
    1. mdau asante..mana wengi wanapenda sana kuponda imani za wenzao...eti ukristo dini ya wazungu..wakati asili yetu waafrika ilikuwa matambiko, usilam, ukristo tuemletewa tu na waliotutawala. waislamu wengi wasiojua dini kuwa ni imani...wanatabia ya kuchamba imani za wenzao. nimependa point yako mdau..KULA TANO!

      Delete