Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- HII NI KWA WANAWAKE WENZANGU WENYE WATOTO,MTOTO WAKO AKIFIKISHA UMRI WA MIAKA MINNE MPE MAZIWA YA NIDO NIAMINI.
- WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- Uzinduzi wa AIBU YAO AIBU YETU ya Hassan Ally, ulivyofana Vatican city Sinza
- MY WEDDING DAY....
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- CHENI,HERENI,CHENI NA PETE ZA KILA AINA VINAPATIKANA DIDA CLASSIC BOUTIQUE PIGA SIMU 0712775150 AU 0655059242 KARIBUNI SANA
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
rindima dida rindimaaaaaaaaaaaaa,mtajibeba.
ReplyDeletemwehu weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee pumba tupu we mwenyewe wa majungu umejuaje kama huyapiki mjinga usiye na utu. nenda huko umejichubua kama konokono.
ReplyDeleteWachawi siku zote mpo na hamkosi cha kuwanga na kumuwangia mtoto wa mwenzenu wenzako wamafunguwa mdomo kwenye sherehe wewe unafunguwa mdomo kwa Dr. wameno tegemeaa maumivu Dida usijali wala usikate tamaa na wachawi ukipata nafasi kama kawa pasuwa mpaka matambazi tena bila ya ganzii.
ReplyDeleteanonimous march 15, 5:02 huna sera ni ww nini ???? mbona yanakutoka ?????
ReplyDeletedongo nimelirusha gizani atakayesema yala lake sidhuriki na matusi kwani nimeyazoe,ila jueni waja hapa mtakoma nyie matusi kwangu mziki pole yenu mlooshwa na mnuka nuka mimi ndiye yule yule haaaaaa mwanamke imara sibabaishi na mkoboa nafaka.wadau wangu mnaaokuwa na mimi sambamba sbb hao wengine yanawagusa niko pamoja na nyinyi hii kwangu kama tv lazima nikutolee chenga chenga.
ReplyDeleteDida nimecheka adi basi na comment wa Anony wa 10.30 anawaambia kuwa wenzao wanafunguwa midomo kwenye sherehe yeye anafunguwa mdomo kwa Dr. wameno ategemee maumivu daaa.Dida hata wewe kwenye kamusi yako huna hii usisahao kumpa na bi.Zai nimeipenda sana mimi nimeshaichukuwa safi sana.
ReplyDeletepunguza ukali wa maneno dada yangu wewe ni kioo cha jamii ambae watu wanakutegemea uweze kuwaelimisha,so kwenye blog muwe mnatuwekea vya kutuelimisha na sio vya kukatisha tamaa jamii my dear haipendezi kwa kweli na kama kuna mtu amekukosea nni vema ukamface kuliko majungu hadharani mie ni mpenzi wa blog yako ila unakoelekea sio mpendwa
ReplyDeletenafikiri mdau wangu kwa namna moja ama nyingine umepitia kwenye maisha yapo na yanaendelea kuwepo huu ni mtazamo tu nashukuru nitafanyia kazi.
ReplyDeleteDIDA ANYWAY UR GOOD,WEWE PIA NI MBUNIFU,MIE NI BINT KM WEWE NA NINA MITAZAMO YANGU KWENYE MAISHA NA HUWA NAKUBALI KUAMBIWA UKWELI IF IM WRONG,SIFAHAMU HUWA UKIANDIKA MSG ZAKO MWENYEWE UNAITA PASUA JIPU UNAMAANISHA NN INAWEZANA UR RIGHT, BUT THAT IS NOT A GOOD WAY OF RELEASING UR TENSION NINGETAMANI KUONGEA NA WEWE NIKUELEKEZE KITU SBB KUNA MAENEO AMBAPO UNA PROVE WRONG BUT SIJUI KM U ARE WILLING , KM UNA UTAYARI TWAWEZA WASILIANA SORRY FOR ANY CONVINIENCE
ReplyDeletesi bure una matatizo wewe, hivi una mafanikio gani mpk uwachambe wenzio hivi. Nadhani unajifananisha na watu wa chini sana na kujiona huko juu kumbe ni ulimbukeni.
ReplyDeletewewe ni kioo cha jamii jaribu kujiheshimu ili watu wakuheshimu. Heshima ni kitu cha bure sana na pia ukiishi kwa staha watu watakupenda
Unajimaliza mwenyewe badilika. Masikini na roho, maisha na fikra
Dida huna lolote,we mwenyewe hata kwenye 100ml huna lkn tantalila kibao,hivi kama ungemfikia Dotnata au Jide ingekuaje?kumbuka mjinga wa leo ndie anakuja kuwa mjanja wa kesho!baht gani uliyokuwa nayo wewe?hizo baht zenyewe ni za masharti (kulumanzira),we ni mtumwa wa watu tu,usimzarau mtu ktk maisha na ukifanya hivyo bac wewe maisha hujayajua bado ni rimbukeni!huko kupanda ndege na kununua hizo kilo ndo unajiona mjanja?kupanda ndege kwa sasa ni kama daladala tu si issue sana,mi mwenyewe kila baada ya week moja na nusu ni lzm nipande ndege na sina tantalila kama wewe,ndo maana wewe ukipata tatizo kdg watu wanakunanga ni kwa kuwa wewe unajiona!me nakupenda lkn umenikera sana,maneno makali sana wape waneno ya kawaida tu,eti kumiliki kagari ka ml10!kelele kibao,dida mdogo wangu angalia haya ni maisha tu,hao wanaokufagiaria kwenye utombo kama huo ulioongea ni wajinga wenzako!kwa sasa nipo india nikirudi nitakutafuta,kwani nitakaa kama siku tano then naruka naenda London.dida kumbuka ulipokuwa unasoma najua kulikuwa watu ndani ya darasa ni wajanja sana i mean kuanzia kimasomo na kimtazamo lkn leo wewe upo juu kdg zaidi ya hao!mungu akikujaalia mshukuru yeye azidi kukupa na kukulindia mali zako bac mambo mengine achana nayo,hao wanaokufagiria hata ukisema utumbo hawafai,ila ulianza kueleza kwa uzuri then ukaharibu tropic nzima.
ReplyDeleteanymous 18, 2011 11:57 nakuunga mkono dida badilika kuwa mwelimishaji sio mpondaji utaona mafanikio mengi na maadui watakupenda usijione upo juu sana jiweke wa kawaida ni hayo tu
ReplyDeletenatumai wadau hamjanielewa nini nilikuwa na maanisha nimesema kwa yeyote mwenye tabia hizo aache kama hazijawahi kukuta usinilaumu kwani sijajiona nina hela wala nini haya ni maisha tu,sijakusimanga ila jua ninachiokiandika kimewatokea watu,Na bahatu mbaya mimi sijishaui kama mnavydhani na sina sura ya kumtisha mtu mpk mseme ningekuwa mzuri in short SIDHULIKI NA LAWAMA NIMESHAZIZOE KWANI KWANGU CHEO NA WALA SI MZIGO,NA MTI WENYE MATUNDA SIKU ZOTE UPOPOLEWA MAWE.
ReplyDeletewapeeee hao.ukinangwa wewe wao wanafarahi .ukiwapa vijimaneno kidogo wanachukia kwa nn? jaman mwenzio akipata nawe omba dua upate. km wewe co limbukeni mbona umetuambia ulipo na unakotaka kuelekea kwa ndege , huna ishu wala jipya. dida poteza ileeeee mbaya.
ReplyDeleteWewe anony 11:55 huna cha kuongea,unajua hata kama ni kiongozi wako lkn anapokosea ni lzm umwambie ukweli,sasa hapa dida amekosea au inaelekea kuna watu au mtu ana bifu nae sasa ndio anamtupia maneno ndani ya blog!kama una akili soma pale kwenye Dida said ya march 16 saa 4:34 utagundua!siku zote unapotoa maada tegemea kupata majibu yoyote!wewe ulitoa maada ulitegemea watanzania wote wawe upande wako?kuna watu na akili zao na si watu na midomo yao!unajua blog hii inatembelewa na watu mbalimbali,anony 11:55 hujui uliongealo kaa kimya,unajua duniani tumegawanyika,kuna mtu akiwa na 5milion tu bac utamjua na kuwaona wenzake ni wajinga ktk maisha,jua na tambua usimdharau mtu kwenye life,leo hii unamdharau mkoboa nafaka?ni kwa kua wewe unapanda ndege sio!jua aliekupa wewe ndio huyo huyo anaemcheleweshea kumpa huyo mkoboa nafaka,maana muda mwingine tunacheleweshewa kupewa tu,hebu muangalie babu wa loliondo na kuna mifano mingi tu ya namna hii babu ana umri wa 76 ndio anapewa wakati kafanya kazi miaka kibao!haya wale wenzake waliokua juu kipindi hicho nina amini leo hii hawapo tena kama si kufirisika haya ndio maisha.
ReplyDelete