JAMANI WANAUME WA MIAKA HII WAMEROGWA?SHOST KUTELEKEZWA KUBAYA NA HASA WASIO JUA KUTUNZA WATOTO.

Thursday, February 10, 2011 1 Comments

Leila dada aliyetelekezwa na mumewe baada ya kulipata vuvuzela anayejua kupuliza mpk kaamua kumfukuza mkewe na mtoto huyo mwenye miezi kumi,Hivi wanaume wa karne hiii mnani mnajua kuziweka kuhudumia hamuwezi,Na mkumbuke mtamaliza mabucha nyama ile ile hata awe amezaa ndio mwanzo wa kuleteana visambusa,gonolea na migonjwa ya ajabu mtoto anakuwa hana baba kisa hawara?
Akikuwa wa kwanza kuja kupokea mahari mshindwe na mlegee.
Nimemuonea huruma sana huyu dada ameona hawezi kukaa hapa bora apewe nauli arudi kwao LINDI wengine si wanaume ni MAGUMEGUME JAMANI.

Akiwa nje ya ofisi za RADIO TIMES FM,Tuamke wanawake sio kila suruali ukiiona unaona zote za dukani nyingine Mtumbani chezea Wengine si Wanaume ni Wanawaka.
Ukiona umeguswa penda familia yako usjali mashokomzoba wakaharibu familia yako.

1 comment:

  1. Nampa pole huyo dada kwa kuachiwa mtoto.Swali langu kwako DIDA,ni kweli una beef na Gea?kwanini unamchukia kama kweli iko hivyo?Niliyasikia haya salon moja ipo hapa kariakoo mkabala na shule ya uhuru yanaposimama mabasi ya tandika.Mi nawapenda wote nataka muwe na amani pia mpendane kwa ajili ya kuipeleka taarab mbele.

    ReplyDelete