MAMBO YA KILI HAYO,WADAU TUMEMWAGIKA NDANI YA DOUBLE TREE MASAKI JANA FULL BATA.

Thursday, January 20, 2011 19 Comments

Huyu ndiye Issa mnaly bingwa wa kuwachafua watu magezitini.

Producer LAMAR,naB12.
Wajina watatu.
Mwasiti na B12.
Dida na Mwanamitindo maarufu bongo.
Alikiba akijiachia.

Dida na alikiba.

Dida na stara thomas.
Me na my boss Rehule nyaulawa.

Me,Barnaba,sauda mwilima na Iron lady Asha baraka.

Sauda,Dida na Mdimu.

Wakuvanga,dida,jokate,bazil na sauda.
Dida na Beny kinyaiya.
Ni pozi tu za kumwaga.
Full kujiachia.

Mambo iko huku.

Dj spesso na Sister duu Mwengi ally.

19 comments:

  1. Yaani Sauda anafanana na Mdimu huko usoni.Mwambie apunguze madawa, mbona wewe Dida unapendeza, mfundishe mwenzio.

    ReplyDelete
  2. Dida mimi huwa mpenzi saaana wa hii blogu yako napenda sana picha unazoweka ila acha niseme ukweli leo nimechukia saana umeweka mapicha ya SAUDA MWILIMA MEENGI halafu Sauda mwenyewe sijui nani kamshauri ajichune vile maana sio kujichubua hadi picha zina- reflect. Dida wewe kama mtu wa karibu yake kwa nini humshauri? mwambie akuangalie wewe unapaka lakini yeye tooooo muchhhhhhhh anatia kinyaa-Mimi naitwa Msema chochote

    ReplyDelete
  3. huyo Sauda Mwilima ka jini linatisha! aache kujichuna! luv u Dida!

    ReplyDelete
  4. dida upo poa ila huyo sauda mwilima ni kama jini mwambie uzuri sio kujichuna

    ReplyDelete
  5. jaman dida mshauri saida, anatisha uwiiiiiiiii.
    mdau hapo juu hujakosea sina mbavu mimi, yan kama pacha wa mdimu vile

    ReplyDelete
  6. kwakweli sauda jamani apunguze kama shetani pori we dada jamni dida maaa mbona we uko poa hata kama bado u mchina ila wa kiasi sauda anajikosea hupendezi hata kidogo ure vnaturally beaty why addddd chemicalssss napata hasira saana

    ReplyDelete
  7. nyie wwatu wacheni kumdanganya hata huyo Dida mwenyewe ni anatisha ka nini mtu akisema ukweli mnamshambulia lakini nivizuri mtu kuambiwa ukweli ili kama ikiwezekana ajirekebishe.

    ReplyDelete
  8. jamani aliyejichuna, aache
    watu utadhani mmepata chokaa enda ngoma za unyago
    please, kama mgorogo mpake makalio,maana ndio yanapata sana shuruba kukaliwa,kwingine mpunguze kama sio kuacha kabisa

    Sauda, unazeeshwa namijikrimu unayopaka
    kama sio, nisamehe.ila kuna kitu unatumia kinakuzeesha sana, kama ni pombe kali pia acha,kula vitu fresh

    ReplyDelete
  9. tuache utani na dida naye kama anapaka mavitu flani ila watu tumempa ushari na ile make up ya wazungu naona now karudia rangi yake natural hata sijaona ile mimekup ya wazungu kama mwenzie sauda leo dida uso umependeza shosti kuwa hivyo hivyo na hiyo make up yako mpya na usipake nyingi si wajua ukijaza kwenye picha unaoneka kama wakuja vile! big up usiwe kama sauda na umshauri mwenzio nayeye abadilike kidogo asipake hayo marangi ya wazungu

    suleha

    ReplyDelete
  10. Nakubaliana na mdau hapo juu wote Sauda na huyo Dida wanatisha, sema Sauda kazidi khaaaa sijui ni ushamba au nini

    ReplyDelete
  11. By the way, hii ni out of topic, hilo tangazo la Mitikisiko ya pwani mbona limepitwa na wakati ina maana huoni au na wewe pia mshamba dida? litoe bwana linatupigia tu kelele

    ReplyDelete
  12. Mimi namkumbuka Sauda wakati anaendesha vipindi vyake star TV alikuwa binti mrembo tuu mara ghafla akaanza kujichuna uso yaani natamani ningekuwa dada yake ama rafiki yake wa karibu nimwambie aache kabisa, kuna mikorogo imeenda shule kama ya mamodal kina flaviana usidhani hawapaki vitu wanapaka sana lakini ngozi zao ni muruwaa kabisa. Mikorogo si dili kabisa kwa nini ajikoboe hivyo alafu eti mtoto wa KIISLAM unatutia aibu bwana.

    ReplyDelete
  13. Hata mimi sifurahiswi na wote wawili, Sauda na wewe Dida pia. ni kweli mwanamke kujiweka ngozi iwe nzuri ni sahihi, ila kwa nini mjichune kiasi hicho? mbona kuna natural creams nyingi siku hizi na ngozi inakuwa ng'avu na nyororo siyo kwenda kutoa gamba la juu kama nyoka jamani!

    Nina uhakika kuna wqakati mnakosa amani kwa jinsi mlivyo ila hamna namna ndo mmmeshajichuna tena!ngozi zinakuwa laini, mkitanuka mnapata michirizi isiyo ya lazima mpaka kichefuchefu!

    Ushauri; we Dida anaza kubadilika, si unasafiri sana wewe? ulizia natural creams ambazo zitakufanya uwe mrembo tena utajiamini. kwa kuanzia, tafuta Moisturizer lotion isiyo na ma-hydroquinone, ukipenda ushauri poa, usipopenda potezea ila habari ndo hiyo!!!!

    Skin Care Girl.

    ReplyDelete
  14. jamani hivi kwa macho tu kati ya dida na sauda nani anajichubua izo nyingine jerous tu hamna lolote color ya dida nzuri sana hadi mwilini mtazame sauda mikononi anatisha sana kaMA KINYAGO CHA MPAPURE dida umependeza ila ushauri wangu kaeni na sauda mtameni miguuni kwenye magoti utazimia unasafiri nchi za watu dida kila mara wape wenzio unavyopaka usiwabanie make up tu ndio ulikuwa huzijuilii usibane coment.

    ReplyDelete
  15. Duh! Sauda anatisha utadhani wale waganga wa kienyeji wa kwenye sinema za kinaijeria!

    ReplyDelete
  16. sAUDA YUOK KAMA KAFA DAH!

    ReplyDelete
  17. eti sauda atambe atambeeee atambie kitugani+2 eti naye ajisifuuuu mweupe kama mwarabu shenzi zake kama kibwengo

    ReplyDelete
  18. hahahahhahaha...mamama mbavu zangu mie
    nngekuwa mie sauda haky'anan ningekuwa napakaa lami niwe mweus kidogo...koz alijichubua ili asifiwe mzuri kama imekuwa tofaut hana jinc kurudia rang na c kwa chcht zaid ya gris au lam kama miez 2 hv,,rang yake itarud...m nilikuwa hvo mwanzo na niliotumia doz hio imenisaidia sana

    ReplyDelete