HAPPY NEW YEAR,ILA KAA MKAO WA KULA KWA MWAKA HUU HAYA YASIKUKUTE MKAKATI WAKE MBAYA.

Friday, January 07, 2011 3 Comments

1;EPUKANA KUSUTWA,
2;KUCHUKUA MKE WA MTU,
3;KUCHUKUA MUME WA MTU,
4;KUNYWA POMBE KUPITILIZA,
5;KUCHUNGUZA YA WATU,
6;KUTAKA KUWA MATAWI YA JUU HALI YAKO DUNI,
7;KUZIBA RIZIKI ZA WATU,
8;KUOA NA KUACHA KAMA UMETOKA JELA,
9;KULA VYA WATU MWANAMKE UKAKIMBIA [TAMAA]
10;NA MENGINE MENGI KAA MKAO WA KULA MWISHO WA SIKU MENO YATAKULEGEA KAMA MTOTO MDOGO UMEANZA KUOTA MENO YA UKUBWANI NITAKUELEZEA NA JE MDAU UPO KIPENGELE KIPI TUKUSAIDIE? UKITAKA KUJUA MDUNDO WA MUZIKI KAA KARIBU NA SPIKA NA TWITTER NDIO MIE.

UKAKIMBIA

3 comments:

  1. Dida una mambo mama, haya tumekuskia mpendwa.. Lakini mie kipengele kilichonigusa ni hicho cha kuchukua mume wa mtu, me wangu anachukuliwa ndio maana na mie nimeamua kuchukua wa wenzangu kupoza machungu. Maana best nimeshaumizwa sana na hawa watoto wa kike....

    ReplyDelete
  2. wela welaaa dida mwaka wao watajuta sasa kipengele changu ni kuchukua waume za watu na sisi tutawachakachulia akilazwi kitu mwaka wa majeruhi dida wewe kipengele chako kipi lol.

    ReplyDelete
  3. Kipengele cha kuchukua mume wa mtu,hakuna hata mmoja wetu ambae hajawahi kuchukua mume wa mtu,itakuwa kazi kidogo hapo.

    ReplyDelete