WAJAMENI KAMA MAPENZI YAKO HIVI MHHHHH,TAZAMA ISHA MASHAUZI NA MUMEWE NDANI YA WIVU WA MAPENZI KUFIKIA HALI HII.

Friday, October 15, 2010 10 Comments

Isha kushoto na rafiki yake hanifa ambaye mume wa isha anamshtumu kumpeleka pabaya mkewe, kukosa amani ndani ya ndoa yao mpaka kufikia juzi kuamkia jana kupigana mpaka kuvunjiana magari yao balaaaaaa.
Huyu ni mume wa isha akinionyesha majeraha aliyoyapata jana alfajiri baada ya kuzipiga na mkewe isha mashauzi muimbaji wa jahazi modern taarab na kujaza umati mkubwa nyumbani kwao maeneo ya tandale kwa tumbo.
Hili ni gari la isha mashauzi lililovunjwa vioo na mumewe tevez baada ya kurusha mawe kadhaa ktk gari kutokana na wivu wa mapenzi hii si kazi ndivyo mapenzi yalivyo?

Isha nae akavurumisha mvua ya mawe kwenye gari ya mumewe kama mnavyoziona kazi kweli kweli.

10 comments:

  1. mmh mapenzi haya ugomvi wao watu hawaingilii

    ReplyDelete
  2. teh teh teh!kwi kwi,nicheke mie hawana kazi ya kufanya hao!wameshakuwa mastaa wa bongo wanaona hiyo yatosha iliyobaki ni kupigana!sasa hiyo hasara waliyoingizana ni for wat?may be NI ULIMBUKENI

    ReplyDelete
  3. Ni ulimbukeni wa kutiana hasara haswa yy teves mtoto wa kiume kufanya vitu kama acha wivu wa kijinga!
    MDAU = GR

    ReplyDelete
  4. NA HUYO SHANGINGI WA KARIAKOO YAWEZEKANA KWELI AKAMTIA UCHIZI MWENZIE,HOVYOOOO NA HUYO ISHA ANA UTOTO GANI WA KUFUNDISHWA UHAYAWANI AKAKUBALI?WATUPISHE SIE.

    ReplyDelete
  5. Hakuna safari isiyo na vikwazo hayo yote ni mapito tu, cha muhimu wao wakae chini wayaongee kiungwana na siyo kuwapa watu faida, ila na ww dida unashadadia nn kwani wewe yalikushinda nn kwa mchopanga mpaka ukaachwa na mpaka leo unatangatanga

    ReplyDelete
  6. Huo ndio umaarufu wa Bongo, watu wazima ovyoooooooooooooooooooooo!

    ReplyDelete
  7. kWANZA HAWAJASOMA WANAONEKANA WOTE MANGUMBARO NA PILI NI WAGENI WA MJI HAO NDIO MAANA WANAFANYIANA HIVYO KWANI HUYU TEVEZ KICHECHE SANA ANATEMBEA NA AIKA WA NICO INSURANCE NA HUYU ISHA MALAAYA WA PALE TRAVELTINE.TATU HAWANA HELA NA NDIO MAANA USTAA WOTE WANASHINDIA VIGARI UCHWARA KAMA HIVYO.


    ZAUNUNU - AMSTERDAM

    ReplyDelete
  8. huo wivu au ujinga tumewachoka hawana jipya kila ajipange afanye maisha yake ushauri wa bure.





    Amina Zangira

    ReplyDelete
  9. makubwa. Mungu awanusuru wasifikie pabaya kutoana uhai

    ReplyDelete
  10. Mwanaume anaonawivu kwasababu anajuwa kinacho endelea kati ya Hanifa na Mkewe "wana***ana" Weraweraaa

    ReplyDelete