WAJAMENI KAMA MAPENZI YAKO HIVI MHHHHH,TAZAMA ISHA MASHAUZI NA MUMEWE NDANI YA WIVU WA MAPENZI KUFIKIA HALI HII.





Friday, October 15, 2010 10 Comments
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
© Copyright DIDA MITIKISIKO Developed by MKCT
mmh mapenzi haya ugomvi wao watu hawaingilii
ReplyDeleteteh teh teh!kwi kwi,nicheke mie hawana kazi ya kufanya hao!wameshakuwa mastaa wa bongo wanaona hiyo yatosha iliyobaki ni kupigana!sasa hiyo hasara waliyoingizana ni for wat?may be NI ULIMBUKENI
ReplyDeleteNi ulimbukeni wa kutiana hasara haswa yy teves mtoto wa kiume kufanya vitu kama acha wivu wa kijinga!
ReplyDeleteMDAU = GR
NA HUYO SHANGINGI WA KARIAKOO YAWEZEKANA KWELI AKAMTIA UCHIZI MWENZIE,HOVYOOOO NA HUYO ISHA ANA UTOTO GANI WA KUFUNDISHWA UHAYAWANI AKAKUBALI?WATUPISHE SIE.
ReplyDeleteHakuna safari isiyo na vikwazo hayo yote ni mapito tu, cha muhimu wao wakae chini wayaongee kiungwana na siyo kuwapa watu faida, ila na ww dida unashadadia nn kwani wewe yalikushinda nn kwa mchopanga mpaka ukaachwa na mpaka leo unatangatanga
ReplyDeleteHuo ndio umaarufu wa Bongo, watu wazima ovyoooooooooooooooooooooo!
ReplyDeletekWANZA HAWAJASOMA WANAONEKANA WOTE MANGUMBARO NA PILI NI WAGENI WA MJI HAO NDIO MAANA WANAFANYIANA HIVYO KWANI HUYU TEVEZ KICHECHE SANA ANATEMBEA NA AIKA WA NICO INSURANCE NA HUYU ISHA MALAAYA WA PALE TRAVELTINE.TATU HAWANA HELA NA NDIO MAANA USTAA WOTE WANASHINDIA VIGARI UCHWARA KAMA HIVYO.
ReplyDeleteZAUNUNU - AMSTERDAM
huo wivu au ujinga tumewachoka hawana jipya kila ajipange afanye maisha yake ushauri wa bure.
ReplyDeleteAmina Zangira
makubwa. Mungu awanusuru wasifikie pabaya kutoana uhai
ReplyDeleteMwanaume anaonawivu kwasababu anajuwa kinacho endelea kati ya Hanifa na Mkewe "wana***ana" Weraweraaa
ReplyDelete