KUNA JITU LINAKUJA UMU KWENYE BLOG YANGU NA KUCHAMBA SINA COMMENTS ZA WATU UNAWAZIMU WEWE MBONA KILA KUKICHA UNACHUNGULIA NA KUKOMENTI UO NI UFALA TAZAMA VIEWERS WANGAPI HAO? SIO LZM UKOMENT UMU LKN UNAINGIA KUTAZAMA UNASEPA NDIO NYIE MKIACHWA NITAENDA WAPI ULIKOTOKA UPAJUI, WEWE UNAYESEMA MIE MPWEKE KUNA SURA YA UPWEKE HAPO MSINICHEKESHE, BORA MIE MWENYE BAHATI YA KUOLEWA WEWE UNAZEEKEA KWENU HATA BARUA YA KUDANGANYWA HUJALETEWA MNIACHE MTOTO WA MWANAMKE MWENZENU NYOOO KAMA SIKUFAI MACHONI MWAKO WENZIO WANANIKUBALI....

Tuesday, March 03, 2015 6 Comments

6 comments:

  1. Mimi ni viewer mzuri sana wa hii blog ila sijawahi kucomment. so kuingia kwenye blog ya mtu sio lazima ucomment, naingia kuangalia fashion za vitu vipya sokoni nikipenda naenda kuvifuata, huyo aliyecomment upupu wake alikosa kazi za kufanya aende kule kwenye mablog ya umbea akacomment mavimavi yake hii blog ni decent ya kijanja. Watuwacheee. Dida blog forever.

    ReplyDelete
  2. Na wakuwache haswaaaaa.... wivu tuu unawasumbua,nyoooo!!!

    ReplyDelete
  3. TENA WAKUACHE KABISAAAAAAAAAAAAAAA,MIE NAKUPENDA SANA KWA VILE UNAJUA KUTAFUTA,UNAJIPENDA NA KILA JAMBO LAKO NI ZURI,WASIKUBABAISHE,NAKUBALI UNA BAHATI YA KUOLEWA,LOVE UUUUUUUUUU!!!!!NEYS

    ReplyDelete
  4. Wakuache jamani. Fanya upendavyo dida...hayo ni maisha yako. Achana na wenye chuki. Shughulika na wanaokupenda.

    ReplyDelete
  5. Wana wivu hao,wakuache miaka 100 wanatamani ulivyo,watasubiri sana maninaaaa zao,wapo tunakupendaaaaaaa sanatuuu.

    ReplyDelete
  6. Dida mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe.Huyo alocomment ufala ni wivu ndio unamsumbua tu,ktk wanawake wa mjini wanaojua kutafuta pesa kwa jasho lao ww unaongoza kwa hiyo na wakuache mtoto wa kitanga ufanye yako wao watabaki kusema ya wenzao hd mishipa ya shingo iwatoke.

    ReplyDelete