MUNGU ATUVUSHE SALAMA MWEZI HUU ISHALLAH. ....

Thursday, July 03, 2014 5 Comments

5 comments:

  1. kwa nn uwe mwezi huu tu?hiyo miezi mengine hakuna mungu?
    ww ni muislamu dida na mwanamke wa kiislam anatakiwa ajihifadhi mwili, laiti kila siku ungekuwa unavaa km hivo ungependeza sana.

    ReplyDelete
  2. dida nakupenda sana nakuomba uwe mvumilivu muache mwanaume aseme atakavyo katu usinyanyue mdomo hamna mkamilifu pole na mitihani.

    ReplyDelete
  3. haya mama wa kujishaua mbona hujishau na mumeo ramadhani yote hiyo, unalo bibi limekuganda hata usipoweka comment lkn unasoma kimya kimya, kgumegume lililomshinda mtume hata mwaka bado ndoa chali unaona sifa kuolewa na kuachwa kila siku lo ni bora ubakie hivyo hivyo na ufuska wako kuliko unavyoachwa kila kukikcha poor you

    ReplyDelete
  4. Haloooooooo mama ya Ezden, 'wasiotutakia mema watasubiri sana' unayakumbuka haya maneno....... wacha nyodo.

    ReplyDelete
  5. unapendeza ukijistiri namuunga mikono na miguu mtoa comment wa kwanza mungu hayupo ramadhan tu watoto wakike tunatakiwa tujistiri siku zote hapa duniani siyo ramadhani. Achana na kutembea nusu uchi ukajiona ndiyo uzungu na kupendeza kesho utakwenda jibu nini kwa Mola wako. Ushakuwa mtu mzima sasa badilika

    ReplyDelete