DIAMOND MUNGU AZIDI KUKUFUNGULIA KWAKWELI....
BIRTHDAY YA MAMA YAKE DIAMOND AMZAWADIA GARI LA MILIONI 38

Ingawa Diamond hayupo
Tanzania lakini hakungoja mpaka arudi ndipo akabidhi zawadi hii badala
yake alichokifanya ni mara baada ya kukamilisha kila kitu kinachoihusu
gari hii Diamond Platnumz aliwapatia mameneja wake kwa ajili ya
kuiwasilisha kwa mama yake.
.png)






0 comments: