NAMSHUKURU MUNGU SANA WATU WAKIKUTHAMINI NAWE UWATHAMINI YOTE NIKO KATIKA HARAKATI ZA KINA MAMA WANAOJIKOMBOA KIUCHUMI NA KUWATIA MOYO KAMA MJASIRIAMALI, NILIKUTANA NA WAJASILIAMALI WADOGO WADOGO. ..

Monday, June 16, 2014 6 Comments

6 comments:

  1. Dida na wewe ujanja wote wa mjini unaandika ujasiliamali khaaa tena siyo mara moja mwanzo i thought was typing error mara umerudia tena ujasiliamali. UJASIRIAMALI

    ReplyDelete
  2. inaonyesha jinsi gani dida asivyo mchoyo wa elimu ya ujasiriamali kwa wanawake, hongera na mungu azidi kubariki kazi za mikono yako, na umependeza sana mdada hiyo simple tu mie hoi, hata make up zimetulia sana, ezden amepata kifaa cha ukweliii, guu guu mtoto dida, hatareeeee na wakuache miaka 100000000000000000

    ReplyDelete
  3. kwani kasomea wapi?..UJASIRIMALI.

    ReplyDelete
  4. Anaweza kuwa wa mjini kwa kuwa ankazi na tunamsikia REDION .Ila akawa hana ujanja wowote unaambiwa mjini shule wewe kama ulisomea shule zauswahilini utbaki ,,,OYAAA MAMBO UJASILIAMALI nk
    Dida ishi miaka 100 babu hata kijijini kunamatajiri wakuloma.

    Dida Utajibeba babuu

    ReplyDelete
  5. Upo mwa .umesuka rasta ndogo au Lace pls kama unauza tueleze tuje
    mama D

    ReplyDelete