USINISEME, NISIKUSEME NA TUSISEMANE MAANA MJINI HATUJUANI TUNAONANA TU....

Thursday, April 10, 2014 7 Comments

7 comments:

  1. Chaezea ume mech na nyumba teh umependeza

    ReplyDelete
  2. Dida, endelea na maisha yako. Achana kujibizana na watu kwenye blog-unavyofanya hivyo unawaonyesha kuwa unawajali na maneno yao yanakuumiza. Ukiona hivyo wenzio wanaumia juu yako ndio maana wanajitahidi kuku-provoke. Ukimya ni tiba bora kuliko kusema sema.......

    ReplyDelete
  3. Pendeza ww ila hvyo viatu kila cku?

    ReplyDelete
  4. Pendeza mashaallah, wapi hubby ? Mnapendezanaaa ile mbayaa! !!

    ReplyDelete
  5. Hata mmeo anatakiwa awe anaendelea kukurusharusha insta kama zamani kha! Yaani kupata kazi mpya kila kukicha ni kujirusha yeye na workmate ake sijui kidoti sijui kikovu! Hivi vyeo vinapita, penzi lililowafanya mpaka kuwa mume na mke halipatikani kila kukicha hivyo kulilinda na kujiepusha na hawa wana laana tena kwa upande wa mme ni muhimu sana aonyeshe kuwa benet na wewe twin ake zaidi na zaidi, hata kama ni kazi bwana, asikusahau hivyo, ni yeye kulisimamisha penzi lenu imara kipindi hiki cha mabadiliko maziri katika ndoa yenu la sivyo mamburula viruka watapata fursa. Mzidi kupendana

    ReplyDelete