THE HAPPY TWO-SOME....

Monday, October 14, 2013 6 Comments

6 comments:

  1. Wooow! pendeza sn nyinyi.....dis is de nyc COUPLE ever! me penda nyie sanaaaaaa

    ReplyDelete
  2. umzalie mumeo japo watoto 2 ndio ndoa yako itapendeza zaidi mdogo wangu Dida

    ReplyDelete
  3. Haloooooo! Mmenogaaaa mwaya!! Kwa raha zenuu kwa shida zaoooo!!. Pili aogwa

    ReplyDelete
  4. Mmependeza sana hao ambao wananuna na wanune mungu amewajaalia mnaendana sana sana hata waseme nini ?mnapendeza sama binadamu kuongea wamezoea hawafanyi yao mjini nawafagilia sana mapenzi toka moyoni

    ReplyDelete
  5. Dida unapendeza sanaaa na mumeo aisee HASWA pale unapokuwa upande wa Mke, kushoto kwa Ezden. Hongera sana, mwanamke anayekaa kulia kwa mume amemkalia kichwani mume. wewe ni mke wa ukweli.

    from ur big fan from IG

    ReplyDelete
  6. i love this couple.......

    ReplyDelete