POSE OF THE DAY....

Thursday, October 31, 2013 12 Comments

12 comments:

  1. MASHAALLAH PENDEZA ILA SHEMU ALITAKIWA AKUANGALIE WEWE SIO CAMERA .MOLA AWAPE UMRI NA UVUMILIVU NDANI YA NYUMBA YENU ILA SAMERA SIMUONI KWENYE PICHA AKIWA NA MJOMBA AU BB MDOGO .UWE UNAMWEKA NA YY PIA

    ReplyDelete
  2. halo haalo,watu watanunajeeeeee..jeans zimeiva zimewapendezajeeeeeeeeee

    ReplyDelete
  3. Mi huwa unanifurahisha sana Dida wa E! Yani huna karaha ya nafsi mpendwa! Mshkuru Mwenyezi Mungu kwa yote.

    ReplyDelete
  4. nice pose, keep it up!

    ReplyDelete
  5. So lovely congrats

    ReplyDelete
  6. ovyoooooo! kujifanya mtoto wa miaka 15.

    ReplyDelete
  7. nyc poz mamyyyyyyyyyyyyyyyyy

    ReplyDelete
  8. ur ma role model i real luv u

    ReplyDelete
  9. wewe fala uliesema ovyooo usipite tena apa love u guyz

    ReplyDelete
  10. Nice pose keep it up forever

    ReplyDelete
  11. Mna mvuto.Wakati ujao shem akuangalie wewe kama alivyosema mdau hapo juu.Huwa inapendeza sana,inaonyesha upendo zaidi.
    Halafu pozi lingine nawapa,shem si anapenda kuangalia kamera??..sasa afanye kama anainyooshea kidole kukuonyesha kamera ilipo halafu wewe geuka kuangalia kamera ilipo ukitabasamu na mshangao kidogo..yani dida ukiipatia hii...mh very attactive!

    ReplyDelete