MAONYESHO YA 37 YA SABASABA 2013

Tuesday, July 02, 2013 1 Comments

Yale maonyesho ya kimataifa ya 37 SABASABA yameanza tayari kwa wakazi wa Dar es salaam, ni muda sasa wa kukutana kule na kufanya manunuzi ya mahitaji mbali mbali, na pia kwa wale wanahitaji kutangaza biashara zao ni wakati sahihi kuchecki na Times Fm 100.5 ili tuweze kukutangazia biashara yako

Hapa niko na Edna wa Marketing Department (Katikati) ndani ya viwanja vya SABASABA

 Kichuna wa Times na Team ya Marketing ya Times Fm Edna, Allen na Inviolata


 SABASABA kwenye mabanda mbali mbali, baada ya kazi shopping kidogo






 Suka wa Times Fm Bw. Msangi nae pia ndani ya viwanja vya SABASABA

 Kwa wiki hii nzima nitakuwepo viwanja vya SABASABA nikitangaza LIVE Mitikisiko ya Pwani.....




1 comment:

  1. U rock now ur blog imeanza kuwa ya kisasa dida uache kuandika mambo ya mipasho humu bana

    ReplyDelete