Most Popular Posts
-
AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
-
ZARI'S BIRTHDAY ZANZIBAR....
-
SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
-
WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
-
MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI.... KHERI KWA KILA MTU
-
MY WEDDING DAY....
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
-
HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
-
THE AFTERMATH...
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
.png)





hahahaahahahah DIDA nakupenda sana jaman watakoma mwaka huu , wataishia kuchemsha supu ya mawe kwa raha zako kwa shida zao nakupenda sana jembe langu
ReplyDeleteDida siku zooooooooooote m2 akishinda na mambo ya watu basi ujue humpi usingizi.
ReplyDeleteAchana nao dada kaza buti mbona 2nakupeeeeeeeeeeeenda mbona watajibeba kwa raha zako mwanamke kujiamini
ReplyDeletedida kwa mamneno yako na vipindi vyako ninakukubali huyu mlimakaranga mwenzangu nahisi hata kutoka nje ni ishu sasa. nahisi na hizo cd4 zitazidi kupungua kwa kasi na dripu juu. hilo ndio homa la jiji likikuvamia hakuna daktari.kaza buti dada yangubig up sana.
ReplyDeletehuo wimbo au???maana haueleweki..hakika hii ni uswahilini .com.....
ReplyDeletemtaa wa pili wanakusema utafikiri umekula vyao, ukirusha jiwe gizani watu wanagugumia, watajutajeeee!!!!!
ReplyDeletenlishasema na narudia tena...... wanaokuhofia niwale wasokujua dida,ukitaka kufanya yako usiwasikilize waja!! go go go mamii tupa kuleee
ReplyDeleteMadam wwe ni hatareeee
ReplyDeleteHilo nalo neno
ReplyDeleteHilo jiwe lako la kizani limeshampata mtu anaugulia kumoyoo..........hapana chezea homa ya jiji watashaaa wamezoea umbea na unafiki.dida naipenda sanaaaaaa blog yako hainaga majungu wala fitna ila watu wanakutafuta chawa za kope ila we ndo homa ya jiji watajibeeeeeeebaje.
ReplyDeleteHahahahaha nakupenda cku zote mtoto yule anajidai kamaliza yote na MIGUU yake ya kushoto utadhan alivunjika utotoni akaunganishwa vibaya,,,,,,kutwa nzima kuwaanika wenzake,
ReplyDeletenimeipenda iyo kingreza kingi kwenye pochi una buku mbili.maana wadada wamjini wanashaua sana kizungu hawana lolote,mamaaa, dida upojuu hafagiliwi mtu hapa wala kizungu ,,,,pochi inaongeea
ReplyDeleteDina mkomeshe sinta anakuongelea vibaya sana, kwanini umchani live me ananichefua na ki raum chake kijifanya mji anaujua, mkomeshe yule mtoto. akija saloon anajishaua utasema analipa kwacha kumbe tzs.
ReplyDeletechamba dida chamda tena na majita moto na sabuni wamezoea kuchambiwa tissue hao et uzungu wakati kubaki na haruf tu lol,wanajishauje type hizo hawana lolote mwisho wa siku wananunua soda kukaa baa kungoja wanaume bibi watu wanajitaftia mpunga wao yaani wanaanza kwa kuulima wanaupalilia then wanauvuna wa kwao huo mchele sio mpuga bibi eenh
ReplyDeleteyanaitwa makavu live, wadada wa mjini kazi hawataki kufanya kazi kuchimba wenzio, mpe yake aende nayo akiyameza akiyatema, akiwekwa kwa pochi ni juu yake.....wewe huyooooooo unasepa zako
ReplyDeleteMchambano time
ReplyDeleteWote ni super star wa kitambo nyie ni mashabiki tu na hapa nilicho kiona ni hiki: anaye mchukia dida ndio aliyepost kwa sinta na anayemchukia sinta ndiye aliyeposti kwa dida , so dida chunguza kwanza then ukishajua kuwa kweli sinta alikusema vibaya hapo mchambe tena hata na jiwe la tanga lakini kama ni mashabiki wekaneni sawa yaishe, ndugu hakuna kitu kibaya kama kuongeza maadui,mimi na Mtanga mwenzio sikufikii hata robo kwa kila kitu but uchuje maneno ya washabiki ni wagombanishi tu na pia kimya ni jibu tosha, fanya yako wakuone kwa mbali kumbuka waliokupandisha ndio wakao kushusha , kuna leo kuna kesho , watu ni wabaya bora umpende mbwa atakupa ulinzi kuliko watu wanafiki. penda mashabiki wako lakini kaa mbali nao usiwape undani wako jifunze kuwa na tabasamu la plastic ! fanya kwa ajili yako na si kwa ajili yao ! kama ni wakwaza mnisamehe.
ReplyDelete