Happy MUUNGANO DAY...!

Thursday, April 26, 2012 0 Comments

Mwl. Nyerere na Karume wakipungia watanzania siku kama ya leo miaka 48 iliyopita ambapo waliunganisha Tanganyika na Zanzibar na kuwa TANZANIA

Leo Taifa letu linaadhimisha miaka 48 ya Muungano wa Zanzibar na Tanganyika, sherehe na shamrashamra za kutosha ktk uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

"Shiriki kikamilifu ktk Sensa na mchakato wa mabadiliko ktk Katiba"

NAIPENDA TANZANIA, NAJIVUNIA AFRIKA!!!!!!

KIAFRIKA ZAIDI

PROUDLY AFRICAN

0 comments: