Fabak Fashion na Njeje walivyofanikisha USIKU WA KANGA ZA KALE.....

Sunday, June 26, 2011 1 Comments

KILA VAZI UNALOLIONA LINAPATIKANA KWA ASIA IDARIOUS Fabak Fashion iliyopo Mikocheni opposite na Kwa Mwl. Nyerere

Asia Idarous Khamsin akiwashukuru Njenje kwa kufanya naye onesho hilo kwenye kiota chao
Waziri Ally akimpongeza Asia kwa ubunifu; Asia ni mwanamitindo wa kimataifa na mkongwe ktk fani hii kwa zaidi ya miaka 30... akiwa na rekodi ya kufanya maonyesho 83 nchini na 19 nje ya nchi

Asia na mamodo wake
Asia akipita mbele ya kadamnasi

Mamodo wakila pozi baada ya onesho
Modo akitoka na vazi la Kanga za kale
Supa modo wa kiume Martin Kadinda akiwa kazini
Supa modo wa kiume akionesha Kanga za kale
Kanga za kale
Shati la kitanashati la Kanga za Kale

Kila aina ya mitindo ilioneshwa
Dida akidhihirisha kuwa yeye si mtangazaji tu bali hata umodo wamo

picha zaidi bofya hapa

1 comment:

  1. This comment has been removed by a blog administrator.

    ReplyDelete