INAITWA NIBEEP NIKUPIGIE NDANI YA MJENGO WA BIG BRODA.

Wednesday, June 01, 2011 4 Comments

Bhoke kutoka tanzania akiwa ameukamatia vyema mkono wa mshika roho yake Ernest kutoka Uganda ,Kweli together tunawakilisha haina kusubiri chukua chako mapema. Tusisahau kumsave mwanadada yuko katika danger wiki hii.



Huwa inaanza taratibu kimaongezi ikichanganya inakuwa haba moto kama treni ya kigoma haya,Mwanadada Kim akivuta hisia maana jamaa aliangusha bonge la songi kwa mtoto na machozi yakamtoka,kumbe kuimbiwa raha ya wanaumeeeee kazi kwenu unaweza ukajisogeza india.

4 comments:

  1. Hivi hawa wanaoenda katika big brother ni lazima uwe ndani ya relationship? au inakuwaje jamani kuna mdudu gani humo ndani?

    mi sijui naonaje? eti wadau is this a normal thing

    ReplyDelete
  2. Mdau hata mi siwasomi kabisaaaaaa, sasa inakuwaje kama we unakuwa tofauti na mambo hayo ndio kusema haufai? Lkini ni kujiendekeza tu na kuiga wanaopita kwani wapo walioingia na wakatoka bila relationship na wakashinda kama yule demu wa zambia BBA I.
    Mam sammy

    ReplyDelete
  3. kweli me sijui inakuaje labda ni vishawishi kwa kweli na kutafuta umaarufu tu

    ReplyDelete
  4. cheki ile video jamaa wa kiganda anavyokatika???? jamani alishindwa kujizuia nyege zilimzidi. lol kweli multi choice wametuweza mwaka huu.

    ReplyDelete