Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
- HII NI KWA WANAWAKE WENZANGU WENYE WATOTO,MTOTO WAKO AKIFIKISHA UMRI WA MIAKA MINNE MPE MAZIWA YA NIDO NIAMINI.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- MY WEDDING DAY....
- Uzinduzi wa AIBU YAO AIBU YETU ya Hassan Ally, ulivyofana Vatican city Sinza
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
Hukufundishwa shuleni?
ReplyDeleteKweli wewe zuzu
Huna cha kuweka
Mpige picha mwanao umuweke
maswali gani hayo, ebu tuambie uliyemgonga anaendeleaje na imekuaje hiyo kesi yako mbona unacho cha kutupa habari leo unatuuliza kobe...
ReplyDeleteKwa kweli kama mnaaznisha blog kwa ajili ya kuonesha picha zako na maisha yako sidhani kama inaleta maana unatakiwa ujaribu kufikiria kuna kitu gani watu watajifunza kutokana na hiyo blog uliyoanzisha, sasa wewe unatonesha kobe halau unatuuliza swali, what is this? au unatoa picha ya mwanao yuko anatazama TV?? sidhani kamainaleta maana au kama umemuona Shamimu analamba matangazo na wewe ndio ukaamua kuanzisha ukitafuta a very good idea!! usiwe na haraka ya kukurupuka bila ya kupata kitu kinzuri
ReplyDeleteHuna hata haya wewe anon wa 6:16AM, kwani hilo ndo jibu la swali alilouliza??? Kama hauna cha kumjibu si unyamaze??? Watu wengine huwa mnawashwa midomo tu bila kuongea hamjisikii raha, hebu jifunze ustaarabu maana huwa haufundishwi shuleni LOL..............
ReplyDeletewe dada wa juu mbona una kiherehere, inaonekana unamuonea sana wivu dada yetu, mbona ye kauliza kwa wma tuu, jamani tujifunze kauli njema, mdomo wako unahitaji clorox au bongo wanaita jiki kasafishe , duuh, @dida mi nafisi kobe ni myama
ReplyDeleteJamani maana ya kumiliki blog ni kujiexpress yourself and others so km dida anaweka picha za mtoto wake kwenye blog yke its her own, nawe anzisha ya kwako weka zako tembelea blogs za macerebrates utaona wanaweka nini km si matukio yao na ya kijamii then km we unaelewa kobe ni nani ni wewe wapo wasioelewa si wote wameenda darasa kiviile na ulipopata taarifa dida kagonga mtu fuatilia huko utajua anaendeleaje dida atatoa kwa wakati wake ebu mpeni nafasi kwanza hata tusiotaka kumsemea mnatufanya tuseme
ReplyDeleteumeona eeh???? mi wananiudhi hadi basi, kwani lazima ucomment kama huna jipya si unafunga bakuli lako unalala, wewe mwenyewe ndo uliyefungua blog ya dida na wala hajakuita kisha unaanza kusema upuuzi wako, HATUPENDI VIHEREHERE NA VIDOMODOMO kwenye blog yetu.......... kama vipi SHAKE WELL B4 USE.......................LOL
ReplyDeleteHe dada umeweka msisistizo "shake well b4 use" umesoma kweny chupa ya syrup ya mwanao nini poa hamna noma mtu akikuchafua unaweka msisitizo bwana tehetehetehe! ntacheka adi kesho thanx for bright my day
ReplyDeletenakumbuka usemi wa didah mti utupiwao mawe ndo wenye matunda,alafu nachompendea she dont give a f.ck ,damn
ReplyDeletelove u mummy
Hi! Dida mimi ni mpenzi sana wa blog yako ila unanikatisha tamaa kwani ninapofungua natarajia kuona vitu vipya lakini naona umekuwa mvivu jitahidi m2 wangu utupe utamu.
ReplyDeleteUmejuaje shost kama Chupa ya dawa ya mwanangu imeandikwa hivyo??? HABARI NDO HIYO, WATAJIBEBA MWAKA HUU
ReplyDeleteAaaa nakuaminia mamake kama hawakuSHECK BEFORE watakunywa sumu ziwadhuru nafsi zao, washindwe kutoa sauti weraaaaaaaaaaaaaaaaweraaaaaaaaaaaaaaaa!
ReplyDeleteMam Samira
Kweli dida jaribu kutenga japo nusu saa ili upate kupitia blog yako na kuiup to date wapenzi wako tunaboreka tukikuta habari zilezile.
ReplyDeleteNipo pamoja nawe Mama Sammy mimi aka ni Shake well
ReplyDeleteaya shoga hayo si majipu hebu weka mdomo wako pazia kuhusu dida hayakuusu
ReplyDelete