Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most Popular Posts
-
AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
-
SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
-
MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI.... KHERI KWA KILA MTU
-
HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
-
WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
-
MY WEDDING DAY....
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
-
Uzinduzi wa AIBU YAO AIBU YETU ya Hassan Ally, ulivyofana Vatican city Sinza
-
THE AFTERMATH...
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY

Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
yaani unanikuna kuwa muwazi saana dida ukiwa muwazi huweki fundo unasonga mbele ila ukiweka mambo rohoni kila siku unakuwa na chuki na mtu mi nakupenda upo muwazi wapasheee hao wamezidi kwanza waseme yao alafu ndo yako tutawaona wa maana sio kuchambua watu na yakwao mauchafu matupuu wameyafunika waanze kujitolea mifano wao.
ReplyDeletedida mimi sio jasiri kama wewe wakumpa live mtu hata sijui y ila nafikiri now utanipa ujasiri wa kumwambia ukweli mtu ajue kama yeye ni mna
nachukia saana mtu anaejifanya kukupenda kumbe mnafki. akiwa na wambeya wenzake wanakuchambuuua siku m mungu kawaumbua wameparangana kwa uhasidi wao anakuja na kujifanya wewe ndo rafiki yako na kukuambia unafki walio kuwa wanauongea wakati wote walikuwa pamoja na wote wanafki jamani acheni kusema sema watu hamna kazi za kufanya??? wanafki
tuwakilishe jamani
dada mimi nadhani ni mdogo sana kukwushauri ila na imani utafata ushauri wangu, naomba usiwape chance ya kuwaonyesha umeumia,nyamaza watanyamaza pia, pia usitake kujua kama wamesema
ReplyDeletewapewape hadi wakukubali kiaina mamy we mkali miaka mianane.WERAAAAAAAAA RILU LILAAAAAAAAA.mbona hawajakukera bado tupe swaga mamii.
ReplyDeleteAmina Zangira
wape haoooooooo, mi nashangaaaaa yes no nyiiingiiiiiii ina huuuuuuuu, mwambie si lazima yeyeye kuna waswazi wenzio tunao kufagilia kwa saaaaaaa watoe shombo zaooooo mwaaaaaaaaaaah mi hapoo tuu mpenzii jamaniii aaaaaaaah nakupenda weeee
ReplyDeleteoddo iddy
october 4 mdau 2:30
ReplyDeleteni kweli ndugu yangu ila watu wengine wanakera nimefanya kama unasema kwa muda mrefu saana ila kila siku nasikia maneno yasio kuwa na maana yoyote. alafu huwezi hata kuamini hayo yalio semwa ukimtazama mtu jinsi alivyomuungwana na maneno alio yasema m mungu atawaonesha sina ubaya na mtu .sipendi mtu anajifanya kukucheeka kumbe ana kuenjoy
asante pia kwa ushauri busara haina mkubwa wala mdogo. ila mi nitajitahid ikizidi ni ukweli tu ili mtu aaache unafiki natamani hata nikuje mdogo wangu
tuwalikilishe jamani
ndugu yangu wape vidonge vyaowakimeza wakitema watajiju kuwapasha watu wala si zambi heheeeeee wape dida sisi wanashekilango uwa atuogopi mtu
ReplyDelete