LEO MJENGONI TULITUPIAJEEEEE.

Thursday, October 07, 2010 9 Comments


Dida na aloy mapembe mjengoni kutupia muhimu bwana unaonajeeee?

9 comments:

  1. sasa umetupia kipi cha maaana hadi useme kutupia muhimu??????????.

    ReplyDelete
  2. mjengoni wapi wewe???hamtafuti jina la kwenu kazi kukopi ya wenzenu...aibuuuuuuuuuu

    ReplyDelete
  3. jamani nyie waja ndio maana dida anawachamba sasa inahusu nini hapo acha nao ndio ujue wavimba macho wako wengi umependeza sana .

    ReplyDelete
  4. mmependeza dida sana na huyo mtangazaji mwenzio nimependa ulivyomechisha.

    ReplyDelete
  5. acha kujishaua maana hatukooi kwa mashauzi uliyonayo kha.

    ReplyDelete
  6. wenye wivu wajinyoooongeeee uko juu watakufa navijiba vya roho nakufagilia sana dida.

    ReplyDelete
  7. USHAURI HUU NI WA KWAKO DIDA, UKIAMUA KUUPOST UPOST, UKIAMUA KUUSOMA NAKUIGNORE PIA ITS OK, BUT COZ I LOVE YOU, I WANT TO ADVICE YOU ONE THING.

    dida acha kujitumia comment wewe mwenyewe, wacha watu wakutumie, mfano kuna comments 4 AMBAZO UMEJITUMIA WEWE MWENYEWE, COMMENT YA KWANZA UMEJITUMIA SAA 10:29 YA PILI SAA 10:30 YA TATU SAA 10:31 YAA NNE SAA 10:32. Zimepishana dakika moja moja tu.
    hizo zote nauhakika 100% umetuma wewe mwenyewe,
    USHAURI WANGU KWAKO, UKIAMUA KUUPOTEZEA USIUPOST SAWA TU!, BUT MIMI PIA NINA BLOG YANGU, Lakini unapofungua blog ukubali yoote mpenzi wangu, kusifiwa, kuchambwa, kupakwa na kuchukiwa na kupendwa pia, coz watu tunatofautiana, so usibanie comment ya mtu, hata kama inakukosoa, pale wanapokukosoa unapost tu! inawapa challenge na wengine kujifunza, example, waweza vaa ukajiona umependeza, ukajirusha kwenye blog. mtu anaweza kukukosoa, kwamba mhhh! dida hapo umechemsha make up, ungepaka hivi au vile, au kutupia ungetupia kitu fulani, hiyo inakuwa nzuri, sasa best wewe ni kusifiwa tuuuuuu ah! inabore, mwenzio mimi hata wakiniambia uko kama matako, mie sawa tu na ninaipost, usibane comment please, fanya fare,

    USHAURI WAPILI
    Dida mpendwa wangu, mimi binafsi nakupenda sana jinsi unavyojitahidi kupambana na umaskini, unajishughurisha sana, TATIZO LAKO
    una maneno ya KUJIHAMI, una maneno ya KUTOJIAMINI, MANENO YAKO TU! YANAKUONYESHA JINSI ULIVYO MUOGA. Ngoja nikushauri kitu mamy, hakuna jibu zuri kama KUKAA KIMYA, hakuna kitu kizuri kama Kuignore maneno ya kipuuzi, watu watasema wewe, wewe wala usiwajibu, it will reach a time watachoka tu! na kujiona wajinga, mimi nilikuwa kama ww, kitu kidogo tu, naandika maneno kibaaaao, kitu kidogo tu yananitoka ile mbaya, but kuna mtu nami alinishauri kama nilicyokushauri wewe na ikanisaidia, ni hayo tu moendwa

    ReplyDelete