JANA TULIKULA BATA NA MCHEZAJI WA ZAMANI WA MANCHESTER UNITED BRYAN ROBSON NO 7 MGONGONI AIRTEL NDIO WALIMLETA MCHEZAJI HUYO NCHINI BOFYA .
Roby akiwashukuru Airtel na wageni wengine waliofika hapo Sea Cliff na kutuaga sbb usiku huo huo alikuwa akirudi UINGEREZA, ni baada ya kufungua kliniki ya Airtel rising stars jijini DSM
Nikala shavu mtoto wa kike la kujifotoa nae hapana chezea,sorry ma hubby ni picha tu.Hawa ndio watoto waliochaguliwa katika AIRTEL RISING STARS Wamepata nafasi ya kufundishwa na makocha kutoka manchester united.Ni katika kuibua vipaji Airtel mko juuuuuuu.
Mlipendeza mpendeza!!
ReplyDeleteHMMM! Dida u look gud! nimependa blauze yako
ReplyDelete