COUPLES WENYE WIVU NA WENYE MANENO MTABUSU UKUTA MWAKA HUUUUU,HATUNA MANENO MOB MTAFUTE WAKO UNITUMIE NIKUWEKEE NAE HUMU,HATA UKICHAMBA SANA HAISAIDII UNAJITUSI MWENYEWE MAANA UNA HASIRA KAMA UMEPEWA TENDA YA KUONJA SUMU KIWANDANI,MTUACHE TULALEEEEEEE MUME WANGU NAJUA NAKUKERA SANA NIMEMISS KIDOGO....

Tuesday, September 24, 2013 8 Comments



 Cleo,Hakeem.
 Pokelo,Elikem.
 Feza,Onell.
Dida,Ezden Mtaubusu ukuta tumeweka pamba masikioni hatuyasikii waja msemayo semeni yote mpk mdomo ufike mbele kila mtu na mtuwe huyu si kama waleeeeeee.

8 comments:

  1. wamekufanya nn leo mama

    ReplyDelete
  2. hapo umeua dida nawaonea huruma wenye roho za kwann mana awaishi kukunenea mabaya,inshallah mungu atakulinda na mabaya yao, nami subir nitume picha unirushe niwakate maini....hapana chezeya double DD,wawaache mlaleeeeee..

    ReplyDelete
  3. Hakeem is soooo handsome, gentlemen, sexy. ....... na awe to baba bora

    ReplyDelete
  4. kumbe dida unaogopa kutoa comments, nyooo muosha huoshwa.

    ReplyDelete
  5. Mrs Ezden kunani tena mbona umetuacha njia panda,tiririka mwana dada,si kawaida yako kumung'unya manenio

    ReplyDelete
  6. aaaah aaaah mdau hapo juu naona povu limekutoka,BY THE WAY WHO R U IN THS BLOG? Fungua yako bas ukoments unavyotaka ,ujaitwa wala kukaribishwa kucomments upuuzi wako nyie ndio wale mnakesha kuwaombea mabaya wenzenu ,paka mweusi wee usiyejijua mwenzio yupo juuuuuuuuu, na wala ashuki chini kama ndoa anayo riziki mungu anampa atujui wewe,

    ReplyDelete
  7. Dida unajua kunawatu hawajawahi kupendwa wala kupenda.so hawaelewi nn maana raha ya penzi wao wanafuata mkumbo tu wakuwa na wapenzi lkn hawaenjoy.wala usijali kula raha mama kupendwa raha hasa ukiwa na ndoa halali huibi mume wa mtu inahuuuuu.hongera mumy alway nakupa fagio

    ReplyDelete
  8. Mmependeza sn Dida na mumeo, wawaache miaka 800, naomba Hadija Kopa atuambie hilo dira lake linapatikana wp? Pls!

    ReplyDelete