Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
- SO HAPPY....
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- THE AFTERMATH...
- SIPENDI WANAWAKE MNAOWANANGA WAUME WA WENZENU TUONYESHENI WENU JAPO KWA PICHA.
- HONGERA THEA MUNGU AKUJAALIE KWENYE NDOA YAKO.
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
Bwana mi naona hiyo style ya weave fupi ni zuri, zile ndefu big no..jamani.acha uwe wewe! Agh yale marefu kwa mtu yeyote huwa full fake! Si km Muhindi!! Mzungu! Mchina nk. Bora fake kidogo tu ya kimadoido...poa
ReplyDeleteDida hizi nguo nzurii sanaaa nimezipendajeee dukani kwako zipoo?
ReplyDeleteWatakukomaa mwaka huu, lol... Unawakimbizaaa pendeza sana mamii!!! Mimi love uu
ReplyDeletedida mpnz you look so young umepungua vizur usinenepe tena love you mingimingi.
ReplyDeleteTuambie wadau wako umetumia nn kupungua jaman kizur tugawane tunailiza mno hutujib tujal basi jaman
ReplyDeletemnaotaka ushauri kuhusu kupungua kwangu nafanya sana mazoezi na nimepunguza kula mno uwe na nia kuwa unataka kupungua na utapungua tu sina la ziada wapenzi na kuhusu dawa wengi wananitumia email dawa zipo ila mpk ujue madhala yake kabla ya kunywa nikisafiri nitajaribu kuwaulizia zilizo bora zaidi.
ReplyDelete