Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
- SO HAPPY....
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- THE AFTERMATH...
- SIPENDI WANAWAKE MNAOWANANGA WAUME WA WENZENU TUONYESHENI WENU JAPO KWA PICHA.
- HONGERA THEA MUNGU AKUJAALIE KWENYE NDOA YAKO.
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
mpz you luk mwaaaaah
ReplyDeletemimi naona hiyo weave ya short hair style wala haijakukaa poa lol
ReplyDeleterudi kwenye ma long weaves
mi nemependa sn ulivopungua sn tu yani ukisimama a mumeo kwa sasa aaaah full mmmmwaaah
ReplyDeletesijawahi kucomment huwa nasoma tu lakini leo nimeona ni comment sio kwa ubaya kwa nia njema tu dida mdogo wangu huwa unajua kupendeza sana hii nazungumzia kwa upande wa nywele kwa upande wa nguo sina shida nayo hiyo kama alivyosema mchangiaji hapo juu weave ya short hair kwa ukweli kabisa haijakutoa kama long weave ukajipange tena kwa upande wa nywele kiroo safi kabisa
ReplyDeleteToo much kumechimechi kupunguza kidogo kha!
ReplyDeleteShosti siku nitakuja kwenye shoe rack yako nichagueeee si utaniruhusu eeh? me penda bure we mwanamke
ReplyDeleteMmmh acheniii wivuu umenogaa mwaya! Hizo nguo zipo dida classic?? Bei ganiii ??
ReplyDeletewe unayesema hajapendeza utashambuliwa a watu hapa. Wenzio hawataki kabisa Dida atolewe kasoro yoyote hata kama hajapendeza sema kapendeza tu!!
ReplyDeleteMy cousin umependeza sanaa..umepungua karibu unikaribie...love u mwaah..
ReplyDelete