Bata la Birthday....

Sunday, October 23, 2011 9 Comments

Ilipotimilika mishale ya saa 6 za usiku wa tarehe 22 Oktoba mume wangu alinistukiza na kitu cha Champagneeeeee huku akiniimbia 'happy birthday.......' sebulen tulikuwa mtu mbili tu



my happy day.......


haikuwa rasmi kuviiiiile, my husband aliwapigia simu baadhi ya friends zake wakajumuika nasi ktk bata!



kutoka kushoto ni Papaa, b'day gal, dj Choka, G, dj Juic

Dida na 'mr. Apetite'

One B 'moko biashara', dj Choka na dJ Juic


Jose Mara 'wa Kimara', dj Choka, G, dj Juic na King Kiff

bata mabatani

9 comments:

  1. happy b'day baby umependaza na marafiki zenu nimefurahi kumuona shemeji kapendeza hatujamuona tangu cku ya harusi

    ReplyDelete
  2. JAMANI DIDA SAA SITA USIKU UMENG'AA HIVYO AU ULIKUWA UMEJITAYARISHA MWANAKWETU,MAANA SUPRISE IMEKUKUTA UNAWAKA SI MCHEZO

    ReplyDelete
  3. Kwanza hongera. Nimefurahi saana kumuona king kiff huyo kaka ana roho nzuri saaana... alikuwa anakuja kwetu mittimirefu Mwanza. hee umenikumbusha mbali na picha ya huyo kaka. Bless him ana utu jamani.

    Mdau wa Europe

    ReplyDelete
  4. mmmh!! ukiweza punguza mkorogo mwaya! pia tumia bio - oil kwa hizo stretch marks,otherwise uzifiche lol! hongera kwa b/day umeongeza number ktk umri wako hope na vitendo vitakuwa vya heshima kidogo.

    ReplyDelete
  5. mi mbona naangalia saa ya ukutani hapo unapofungua champain kama inasema saa tano na dakika 5, au imesimama hiyo


    ila umependeza sana na naona umeacha mazoezi. unanenepa lol!

    ReplyDelete
  6. we bibi we,huyo mumeo asoonekanaga ni ruhani mbona wamficha kiivo,waogopa nini hasa mtoto wa kike kama umefundwa ukafundika kweli????mbona wenzio wenye waume zao na mablog huwa wanawaweka waume zao tunawajua wewe wako ana nini ambacho hutaki tukione???alaaaa!hebu muweke hapa tumuone huyo bwana!

    ReplyDelete
  7. au uko transit kwake ndo maana wamficha ficha!???maana kila siku mume mume huyo mume kaoa dunia?!!!hebu na tumuone huyo alooa dunia basi

    ReplyDelete
  8. hongera mpenzi wanguuu,suprise ndo ishara ya mapenzii,umependeza na mkorogo wako wanaokwambia upunguze wanakuonea wivuu,na foundation imekukubali piaa..nyooo washindwe na walegee hao ndio wanga wenyeweeee!!!!!luv u much

    ReplyDelete
  9. shost hilo vazi ulilovaa na mashemeji pembeni inahusu vazi kama hilo kwa mumeo sasa katikati ya umati unavaa transparent hivyo huoni haya wala hujui vibaya mwana mjaa lana weee sonyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

    ReplyDelete