Most Popular Posts
-
AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
-
HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
-
SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
-
THE AFTERMATH...
-
HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
-
NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
-
SO HAPPY....
-
HONGERA THEA MUNGU AKUJAALIE KWENYE NDOA YAKO.
-
SIPENDI WANAWAKE MNAOWANANGA WAUME WA WENZENU TUONYESHENI WENU JAPO KWA PICHA.
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY

Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
happy b'day baby umependaza na marafiki zenu nimefurahi kumuona shemeji kapendeza hatujamuona tangu cku ya harusi
ReplyDeleteJAMANI DIDA SAA SITA USIKU UMENG'AA HIVYO AU ULIKUWA UMEJITAYARISHA MWANAKWETU,MAANA SUPRISE IMEKUKUTA UNAWAKA SI MCHEZO
ReplyDeleteKwanza hongera. Nimefurahi saana kumuona king kiff huyo kaka ana roho nzuri saaana... alikuwa anakuja kwetu mittimirefu Mwanza. hee umenikumbusha mbali na picha ya huyo kaka. Bless him ana utu jamani.
ReplyDeleteMdau wa Europe
mmmh!! ukiweza punguza mkorogo mwaya! pia tumia bio - oil kwa hizo stretch marks,otherwise uzifiche lol! hongera kwa b/day umeongeza number ktk umri wako hope na vitendo vitakuwa vya heshima kidogo.
ReplyDeletemi mbona naangalia saa ya ukutani hapo unapofungua champain kama inasema saa tano na dakika 5, au imesimama hiyo
ReplyDeleteila umependeza sana na naona umeacha mazoezi. unanenepa lol!
we bibi we,huyo mumeo asoonekanaga ni ruhani mbona wamficha kiivo,waogopa nini hasa mtoto wa kike kama umefundwa ukafundika kweli????mbona wenzio wenye waume zao na mablog huwa wanawaweka waume zao tunawajua wewe wako ana nini ambacho hutaki tukione???alaaaa!hebu muweke hapa tumuone huyo bwana!
ReplyDeleteau uko transit kwake ndo maana wamficha ficha!???maana kila siku mume mume huyo mume kaoa dunia?!!!hebu na tumuone huyo alooa dunia basi
ReplyDeletehongera mpenzi wanguuu,suprise ndo ishara ya mapenzii,umependeza na mkorogo wako wanaokwambia upunguze wanakuonea wivuu,na foundation imekukubali piaa..nyooo washindwe na walegee hao ndio wanga wenyeweeee!!!!!luv u much
ReplyDeleteshost hilo vazi ulilovaa na mashemeji pembeni inahusu vazi kama hilo kwa mumeo sasa katikati ya umati unavaa transparent hivyo huoni haya wala hujui vibaya mwana mjaa lana weee sonyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
ReplyDelete