Most Popular Posts
- AFUA SULEIMAN ATOKA NA MPYA "UNAJIDODO" BIBI LINAKUCHUKUCHA
- HAYA MANENO UNAWEZA KUNYWEA CHAI AHAAAAAA
- SAMAHANINI KAMA NITAWABOA WALE WASOMI.SIO UGOMVI NI SWALI TU JIBU LINATAKA USHIRIKIANO USICHUKULIE KAMA MGOMO.
- WADAU KWELI MIMI NI MTU MZIMA WALA SI KIPANDE NA SIJAFIKIA UTU UZIMA UOOOO SABABU SICHAMBII PANGA WALA SIPIGI DANADANA KWA MAKALIO,ILA NAPENDA NIWATOE HOFU NYIE MNAOJIFANYA MNANIJUA SANA KULIKO MAMA YANGU MZAZI NI HIVI NAMTAJA LIVE SABABU ANAJUA SIMUHOFII WALA SIMUOGOPI NA SINA SHARI NAE ILA AKIITAKA KWANGU ATAINUNUA KWA BEI RAHISI BILA YA VAT,SINTA NAKUTAJA NA NAJUA HUWEZI CHAMBANA NA MIMI HATA ROBO MAANA NITAKUPA UMAARUFU WA MUDA MCHACHE MAANA HATA WA KUTATIZA KATIKATI YA MSAFARA WA RAISI UTACHUKUA MUDA,NYIE MNAOSEMA NAMUOGOPA SINTA ANALIJUA ILO KUWA SIMUOGOPI HATA KIDOGO NA NIKITAKA KUCHAMBANA NAE SI HUMU NAMTAFUTA KWA GHARAMA ZANGU TUCHAMBANE FACE TO FACE KWA HIYO SINTA FANYA YAKO ANDIKA YAKO UMO KWENYE BLOG YAKO KWELI MIMI MTOTO WA KISWAHILI SINA UZUNGU HATA ROBO ILA UKINICHOKONOA UTAJUA KAMA MIMI MZUNGU AU MZARAMU NYIE WAZUNGU ENDELEENI NA UZUNGU WENU KWANGU NDIO KWANZA MKOKO UMEALIKA MAUA,KUMBUKENI MATUSI YENU HAYANITOI KOPE NDIO KWANZA ZIMENISIMAMA KAMA KIBANDA CHA SIMU.
- HII NI KWA WANAWAKE WENZANGU WENYE WATOTO,MTOTO WAKO AKIFIKISHA UMRI WA MIAKA MINNE MPE MAZIWA YA NIDO NIAMINI.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA.
- MY WEDDING DAY....
- Uzinduzi wa AIBU YAO AIBU YETU ya Hassan Ally, ulivyofana Vatican city Sinza
- NAWASHUKURU WOTE MADADA NA MARAFIKI ZANGU WOTE MLIOHUDHURIA KWENYE KITCHENPART YA DADA YANGU ALIYE NILEA TANGU MDOGO NAWASHUKURU SANA.
- HAPPY BIRTHDAY SAUDA MWILIMA @SEACLIFF BOFYA TUUU....
Kumbu Kumbu
BLOG MBALI MBALI
VYOMBO VYA HABARI
DOUBLE D ENTERTAINMENT COMPANY
Kwa sherehe au Shughuli mbalimbali Harusi/Kitchen Party; Wanatoa huduma ya MC na MUZIKI kwa bei nafuu. Wasiliana nasi 0772/0712 - 77 51 50
Nani tena huyo pole yake
ReplyDeletemambo vipi dida?naomba weka namba ya huyo dada anayekusuka anasuka vizuri sana.unazidi kupendeza my dear hongera.
ReplyDeleteYaani ile tuzo aloipata Dina Marios wa Clouds FM ya 'WOMAN OF THE YEAR' laiti kama ungeipata wewe bidada........., sipati picha ingekuwaje hapa jijini, na hayo majigambo yako!!!!! TUNGEJAMBA CHECHE......!!!!!! WAMOJA HAVAI MBILI.
ReplyDeleteila dida wote wanaofanya hivyo si wahuni bali kunawanawake hawana wanaume na wako bize na maisha kwa kutafuta hela kuna wakati wanamis sauti za kiume na pia hua wanalala peke yao vitandani zaidi ya mwaka au miezi sita na zaidi sa hua hawana kampani ya mwenza na unavyojua tena kibaolojia mwili hua nahitaji mambo mengi kwa kuwa hawa watu wanakula aina zote za vitamini na protini namaanisha hawa wanawake sasa inafikia hatua wanakuwa na hamu hata ya kuguswa mkono au wanahitaji kupapaswwa au kukumbatiwa na kwa kuwa hawana wanaume wa kuwafanyia hivyo ndio wanajihisi wapweke sasa wakitulia usiku au wakati wowote wanamic hizo sauti za kiume na sio wanawake hata wanaume wapo ambao nao hawana wanawake na wakati wengine hua wanawasiliana na wanawake na kujifanya wamekosea namba lakini nia na madhumuni ni kusikia sauti za wasichana alafu wanasikia raha unajua hata tulipofundishwa somo la ukuaji darasa la saba au la tano nakumbuka tuliambiwa sauti huleta mahaba sana hasa ukisha balehe na ndio maana mwanamke akiwa na mwanaume wakiwa kitandani wakati wa tendo la ndoa wakiwa na ufundi wa kutumia sauti zao kitendo hua kinakuwa kizuri zaidi kuliko wale ambao wnafanya tendo la ndoa huku hawaongei kimya kimya unajua ni kwa nini kwa sababu sauti ya mwanaum e inakuwa nzito na hua inamsisimua mwanamke hata kama akimuuliza unaenjoy? mladi ametoa sauti mwanamke anasikia raha mwingine hua anamwita mpenzi wake jina ili tu asikie sauti wakati wapo kitandani kwani hua zinabadilika na wakati huo huo sauti ya mwanamke pia hua laini sana ambapo hua inamsisimua mwanaume, sasa basi hawa wanaopiga namba za simu na kudai wamekosea sio wote wahuni wengine hua wanahamu ya kuifurahisha miili yao kujifariji kwa upweke na utawajua kivipi ni sasa inapofika wakati unapomwambia tuonane anakataa kata kata na mwishoni hua kabisa hawaonani. na pia hakupi details zake zozote ndio maana nasema sio wote hua wanajirahisisha hapana.
ReplyDeleteMdau nimekupenda buree! Natamanije tuwe mashoga uwe unanipa hayo maushauri sasa..hahahaa
DeleteDida elfu kumi mbona nyingi sana.
ReplyDeleteUNAPAJA NZURI DIDA NIMEZIKUBALI.
ReplyDeletekm mungu kakupa ni zako dida wacha majigambo
ReplyDelete